Mchepuko wa kiume unaombaomba sana pesa hii imekaaje?

Mchepuko wa kiume unaombaomba sana pesa hii imekaaje?

Hivi inakuwaje mwanaume mzima kutwa kulialia kwa mwanamke...hii imekaaje wadau kuna mapenzi kweli hapa au mwanaume anataka kamserereko?

Mawazo yenu ni muhimu

Tuweke mbali suala la kuomba pesa, anaomba kiasi gani cha pesa? Au anataka ulipie gharama za risk anayoichukua kuwa na wewe? Wewe umeolewa au uko na mtu mwingine pia?
 
Hivi Mungu aliweka nini kwenye hivi viungo,ona watu wanavyohangaika.
Mama si unataka usukumiwe ukuni wizi,haya pambana
 
Back
Top Bottom