Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa mkuu.Mocktail huwa haina kilevi, vp hapo?
Mie napenda mizagamuo mkuu utakimbia mwenyewe......hiyo biashara na ualimu nitaifanya saa ngapi...labda unielimisheSi uwe mchepuko sasa, offer ipo wazi hio, wewe naonaga una akili. Hahahahahaaaaa
Tena kama ni mwalimu ndo inakufaa sasa. Especially kama kituo chako cha kazi kipo Dar, Mwanza au DodomaMie napenda mizagamuo mkuu utakimbia mwenyewe......hiyo biashara na ualimu nitaifanya saa ngapi...labda unielimishe
Kwanini hiyo kazi ya macocktail sijui mocktails usimpe mkeo naye akasambaza hayo madude ofisi ili ashikwe makalio vizuri.Habarini wanajamvi.
Nimegundua kuna biashara moja akitokea mwanamke au hata mwanaume akaamua kuifanya itamlipa sana. Mimi niko bize siwezi anza kukimbizana nayo ndo maana nasema mchepuko wangu(sio mke wangu) angekua na akili nzr ningemfungulua hii biashara.
Biashara yenyewe ni kusambaza Mocktail na Cocktail sehemu mbalimbali hasahasa maofisini.
Kwa tunaotumia hivi vinywaji tunajua namna inavyokuchamgamsha hasahasa ukutane na mtaalam wa kuvitengeneza.
Vinywaji hivi material yake inafanya viwe ni suitable kwa watu ws kazi zote, zile za kukaa ofisini au zile za mitulinga.
Ni kama tu hawa wadada wanaosambaza juisi maofisini, tatizo ya juisi sometimes inaweza kuwa na sukari nyingi ikakufanya uanze kulala baada ya lunch, lkn kwa uzoefu wangu mocktail na cocktail hazikufanyi ukalala bali zinakuchangamsha.
Challenge inayokuja ni bei, minimum price ya mocktail wengi naona ni 5000 kwa glass na kwa cocktail ni 10k kwa glass. Kusolve hii challenge ni rahisi, zinatengenezwa fractions za glass(nusu nusu) makini sana na kuuzwa 2k au 3k au 5k (kwa cocktail)
Baada ya hapo ukipata mabinti watatu, wazuri wanaovutia kwa kazi ya kusambaza hizo drinks basi una uhakika wa kufanya biashara mzuri tu.
Ni idea kama hiihii ya kuuza juice, lkn modified, something more special, unique and classy. Na kwa taarifa yako biashara zote zimebase kufulfill any one of the core human drives, sasa "desire to look classy" ni mojawapo ya human drives, na huo ndo utakua ushindi wa anaefanya hii biashara.
Just thinking out loud.
🤣🤣🤣🤣🤭 Haya,asante sana 🙌Tena kama ni mwalimu ndo inakufaa sasa. Especially kama kituo chako cha kazi kipo Dar, Mwanza au Dodoma
Ni kucheza tu na mabinti wanaosambaza hizo drinks.
Halafu mizagamuo hapa ndo mahala pake, mimi ninyime hadi msosi ila K tu usininyime
Nifungulie mimi alafu nimuajiri mchepuko wakoHabarini wanajamvi.
Nimegundua kuna biashara moja akitokea mwanamke au hata mwanaume akaamua kuifanya itamlipa sana. Mimi niko bize siwezi anza kukimbizana nayo ndo maana nasema mchepuko wangu(sio mke wangu) angekua na akili nzr ningemfungulua hii biashara.
Biashara yenyewe ni kusambaza Mocktail na Cocktail sehemu mbalimbali hasahasa maofisini.
Kwa tunaotumia hivi vinywaji tunajua namna inavyokuchamgamsha hasahasa ukutane na mtaalam wa kuvitengeneza.
Vinywaji hivi material yake inafanya viwe ni suitable kwa watu ws kazi zote, zile za kukaa ofisini au zile za mitulinga.
Ni kama tu hawa wadada wanaosambaza juisi maofisini, tatizo ya juisi sometimes inaweza kuwa na sukari nyingi ikakufanya uanze kulala baada ya lunch, lkn kwa uzoefu wangu mocktail na cocktail hazikufanyi ukalala bali zinakuchangamsha.
Challenge inayokuja ni bei, minimum price ya mocktail wengi naona ni 5000 kwa glass na kwa cocktail ni 10k kwa glass. Kusolve hii challenge ni rahisi, zinatengenezwa fractions za glass(nusu nusu) makini sana na kuuzwa 2k au 3k au 5k (kwa cocktail)
Baada ya hapo ukipata mabinti watatu, wazuri wanaovutia kwa kazi ya kusambaza hizo drinks basi una uhakika wa kufanya biashara mzuri tu.
Ni idea kama hiihii ya kuuza juice, lkn modified, something more special, unique and classy. Na kwa taarifa yako biashara zote zimebase kufulfill any one of the core human drives, sasa "desire to look classy" ni mojawapo ya human drives, na huo ndo utakua ushindi wa anaefanya hii biashara.
Just thinking out loud.
Kweri jamaa kakurupuka.kazidiwa na mimi mubeba tofari ni.mesoma nimekuerewa kwann umeesema mchepuko naa siyo mukeNilijua tu haujasoma uzi. Wabongo wape picha au heading tu
Hio biashara inahusisha contact points nyingi sana, ukimuweka mkeo kwenye hio biashara akakutana na boss alokuzidi wewe kila kitu ni sawa na kumuweka mkeo kwenye majaribu tu.Kila siku nawaambia, Ukimuondoa Mke .
Michepuko ,Hawa unafungua Biashara ambayo wewe bado ndio unaendelea kua Boss na Decision Maker ili siku akikengeuka, unamuondoa kwenye mzunguko wako wa Pesa .
Unachotaka kufanya ni sawa na kusomesha mchumba 🤣🤣🤣
😀😀😀😀Unataka iwe mchepuko squared, si mtagombana sasa huko. Sababu hizo hesabu tunakua tunafungia kitandani ujue
USA/Ulaya tofauti sana na hapa Tz.Unashangaa?
Nimefanya kazi Texas USA Miaka miwili kule ofisin unakuta hadi Whiskey, ni ice zako tu
Sawa cocktail ina alcohol lkn Mocktails ni pure herbs na matunda chief, ndo maana nikaziweka zoteUSA/Ulaya tofauti sana na hapa Tz.
Tanzania kwa ujumla pombe aina yeyote hata iwe na 2% alcohol ni najisi kwenye ofisi iwe ya umma au binafsi.
Hizo cocktails labda ziwe za juice..)))
Aahh sawa nmekuelewa, Kwa maana yakwamba, mchepuko hata akikutana na Boss kukuzidi, sio mbaya ,muhim unaendelea kuichapa?..Hio biashara inahusisha contact points nyingi sana, ukimuweka mkeo kwenye hio biashara akakutana na boss alokuzidi wewe kila kitu ni sawa na kumuweka mkeo kwenye majaribu tu.
Ndo maana nikasema mchepuko. Huyo najua tunagonga wengi, zamu kwa zamu
[emoji38]Mfungulie tu huyo mchepuko wako ndyo mpenz wangu
Okay.
Nimeishi Scandnavia.
Ukipiga hata fundo moja tu la wine ni kosa kuwa kazini.