Mchepuko wangu angekua na akili ningemfungulia hii biashara

Mchepuko wangu angekua na akili ningemfungulia hii biashara

mkuu unabisha sababu huelewi na hujui hata cocktail na mocktail ni nini kiundani

Tuanze polepole, kuna wadada wanauza juice maofisini. Hawa wamefanikiwa, lkn mocktail(achana na cocktail kwanza) huwa haina kilevi, so inawexa uzwa kama jinsi. Na mocktail ni kitu classy, tofauti na mtu kukuona unakunywa juice plain ya matunda

Tukija kwenye cocktail, hii ina kilevi lkn haileweshi kivile, kuna watu wanakunywa vilevi kazini hasa kampuni za private, market tyr ipo hapo inakusubiri.

Sasa wewe unabisha sababu upo too negative, bad for your health.

Nakumbushia, kunywa breakfast nzuri na nzito, sio vipolo, hilo gubu litakua linaishia polepole


Biashara za makaratasi
 
Okay.

Nimeishi Scandnavia.
Ukipiga hata fundo moja tu la wine ni kosa kuwa kazini.
Mie nimeishi Dodoma huko tulikuwa tunakunywa pombe mwitu masaa yote na hakuna nzi atakukamata ni hela yako tu na miguu yako virabu viko kila kona.!
 
Kama ungemfungulia biashara mchepuko wako wewe ndio ungekuwa mjinga

Mchepuko ni kwa ajili ya ngono tu.

Atleast ufikirie kumfungulia biashara mkeo
Wakati mwingine formula haiko hivyo. Unaweza kuta huyo mkewe mama wa nyumbani goli kipa hana wasiwasi wala skills za biashara.
 
Wewe vipi kuna michepuka ina faida sana mfano kukuzalia watoto. Mm mchepuko wangu namthamini coz amenizalia mtoto wa kiume ambae nilishindwa kumpata kwa mke wangu. Ningekuwa vzr ningemfungulia hata biashara ya kupakua mizigo bandarini ashindane na dp world.
Hapana aisee kwa mchepuko siwezi kumfungulia biashara yoyote sina mkataba naye. Muda wowote kikiumana unaopoteza chako
 
Coctail iandaliwe kisawasawa unafikiri KAZINi kutaeleweka hasa na joto la dar? Unataka watu vibarua vyao viote nyasi
 
Back
Top Bottom