Mchepuko wangu angekua na akili ningemfungulia hii biashara

Si uwe mchepuko sasa, offer ipo wazi hio, wewe naonaga una akili. Hahahahahaaaaa
Mie napenda mizagamuo mkuu utakimbia mwenyewe......hiyo biashara na ualimu nitaifanya saa ngapi...labda unielimishe
 
Mie napenda mizagamuo mkuu utakimbia mwenyewe......hiyo biashara na ualimu nitaifanya saa ngapi...labda unielimishe
Tena kama ni mwalimu ndo inakufaa sasa. Especially kama kituo chako cha kazi kipo Dar, Mwanza au Dodoma

Ni kucheza tu na mabinti wanaosambaza hizo drinks.

Halafu mizagamuo hapa ndo mahala pake, mimi ninyime hadi msosi ila K tu usininyime
 
Kwanini hiyo kazi ya macocktail sijui mocktails usimpe mkeo naye akasambaza hayo madude ofisi ili ashikwe makalio vizuri.
 
Tena kama ni mwalimu ndo inakufaa sasa. Especially kama kituo chako cha kazi kipo Dar, Mwanza au Dodoma

Ni kucheza tu na mabinti wanaosambaza hizo drinks.

Halafu mizagamuo hapa ndo mahala pake, mimi ninyime hadi msosi ila K tu usininyime
🀣🀣🀣🀣🀭 Haya,asante sana πŸ™Œ
 
Nifungulie mimi alafu nimuajiri mchepuko wako
 
Kila siku nawaambia, Ukimuondoa Mke .

Michepuko ,Hawa unafungua Biashara ambayo wewe bado ndio unaendelea kua Boss na Decision Maker ili siku akikengeuka, unamuondoa kwenye mzunguko wako wa Pesa .

Unachotaka kufanya ni sawa na kusomesha mchumba 🀣🀣🀣
 
Hio biashara inahusisha contact points nyingi sana, ukimuweka mkeo kwenye hio biashara akakutana na boss alokuzidi wewe kila kitu ni sawa na kumuweka mkeo kwenye majaribu tu.

Ndo maana nikasema mchepuko. Huyo najua tunagonga wengi, zamu kwa zamu
 
Unashangaa?

Nimefanya kazi Texas USA Miaka miwili kule ofisin unakuta hadi Whiskey, ni ice zako tu
USA/Ulaya tofauti sana na hapa Tz.
Tanzania kwa ujumla pombe aina yeyote hata iwe na 2% alcohol ni najisi kwenye ofisi iwe ya umma au binafsi.
Hizo cocktails labda ziwe za juice..)))
 
USA/Ulaya tofauti sana na hapa Tz.
Tanzania kwa ujumla pombe aina yeyote hata iwe na 2% alcohol ni najisi kwenye ofisi iwe ya umma au binafsi.
Hizo cocktails labda ziwe za juice..)))
Sawa cocktail ina alcohol lkn Mocktails ni pure herbs na matunda chief, ndo maana nikaziweka zote
 
Hio biashara inahusisha contact points nyingi sana, ukimuweka mkeo kwenye hio biashara akakutana na boss alokuzidi wewe kila kitu ni sawa na kumuweka mkeo kwenye majaribu tu.

Ndo maana nikasema mchepuko. Huyo najua tunagonga wengi, zamu kwa zamu
Aahh sawa nmekuelewa, Kwa maana yakwamba, mchepuko hata akikutana na Boss kukuzidi, sio mbaya ,muhim unaendelea kuichapa?..


Nmekuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…