Mchepuko wangu angekua na akili ningemfungulia hii biashara

USA/Ulaya tofauti sana na hapa Tz.
Tanzania kwa ujumla pombe aina yeyote hata iwe na 2% alcohol ni najisi kwenye ofisi iwe ya umma au binafsi.
Hizo cocktails labda ziwe za juice..)))

Cocktails za juice ni zipi tena mzee wetu
 
Cocktail unatengeneza mwenyewe ndugu? Unachanganya vitu gani na gani?
 
Biashara ya kusimuliwa haijawahi kuwa na hasara ni wew tu namna ambayo utakuwa umejipanga
 


Biashara kama ya matikiti ya graduate wa UD, biashara za idea, nenda field uone...

By the way kuwa na mchepuko ni ushamba, 100%, na unajiangamiza wewe na jamii yako.
 
Biashara kama ya matikiti ya graduate wa UD, biashara za idea, nenda field uone...

By the way kuwa na mchepuko ni ushamba, 100%, na unajiangamiza wewe na jamii yako.
Trash, out of topic. Shut up!
 
Kama ungemfungulia biashara mchepuko wako wewe ndio ungekuwa mjinga

Mchepuko ni kwa ajili ya ngono tu.

Atleast ufikirie kumfungulia biashara mkeo
Wewe vipi kuna michepuka ina faida sana mfano kukuzalia watoto. Mm mchepuko wangu namthamini coz amenizalia mtoto wa kiume ambae nilishindwa kumpata kwa mke wangu. Ningekuwa vzr ningemfungulia hata biashara ya kupakua mizigo bandarini ashindane na dp world.
 
Hawa watu ambao hawafanyi biashara huwa wanazibuni wakiwa wenyewe na ni za hovyo.

Hakuna biashara hapo!
Sheih hv umekunywa hata chai kweli?

Hili gubu lako linachangiwa na njaa naona kabisa
 
Sheih hv umekunywa hata chai kweli?

Hili gubu lako linachangiwa na njaa naona kabisa

#fact - inauma. Nakuelewa, Hakuna biashara kwa hilo eneo wakati wa kazi. Nakuelewa, sometimes ni ngumu ku admit fact, google tofauti kati ya fact na truth utanielewa.
 
#fact - inauma. Nakuelewa, Hakuna biashara kwa hilo eneo wakati wa kazi. Nakuelewa, sometimes ni ngumu ku admit fact, google tofauti kati ya fact na truth utanielewa.
mkuu unabisha sababu huelewi na hujui hata cocktail na mocktail ni nini kiundani

Tuanze polepole, kuna wadada wanauza juice maofisini. Hawa wamefanikiwa, lkn mocktail(achana na cocktail kwanza) huwa haina kilevi, so inawexa uzwa kama jinsi. Na mocktail ni kitu classy, tofauti na mtu kukuona unakunywa juice plain ya matunda

Tukija kwenye cocktail, hii ina kilevi lkn haileweshi kivile, kuna watu wanakunywa vilevi kazini hasa kampuni za private, market tyr ipo hapo inakusubiri.

Sasa wewe unabisha sababu upo too negative, bad for your health.

Nakumbushia, kunywa breakfast nzuri na nzito, sio vipolo, hilo gubu litakua linaishia polepole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…