Mchepuko wangu angekua na akili ningemfungulia hii biashara



Biashara za makaratasi
 
Okay.

Nimeishi Scandnavia.
Ukipiga hata fundo moja tu la wine ni kosa kuwa kazini.
Mie nimeishi Dodoma huko tulikuwa tunakunywa pombe mwitu masaa yote na hakuna nzi atakukamata ni hela yako tu na miguu yako virabu viko kila kona.!
 
Kama ungemfungulia biashara mchepuko wako wewe ndio ungekuwa mjinga

Mchepuko ni kwa ajili ya ngono tu.

Atleast ufikirie kumfungulia biashara mkeo
Wakati mwingine formula haiko hivyo. Unaweza kuta huyo mkewe mama wa nyumbani goli kipa hana wasiwasi wala skills za biashara.
 
Hapana aisee kwa mchepuko siwezi kumfungulia biashara yoyote sina mkataba naye. Muda wowote kikiumana unaopoteza chako
 
Coctail iandaliwe kisawasawa unafikiri KAZINi kutaeleweka hasa na joto la dar? Unataka watu vibarua vyao viote nyasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…