Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

ivi ile michezo ambayo anacheza kama boyka kwenye movie ni aina gani aiseee... yani kama ile haipo kwenye hayo mliotaja hayo naona yatakua hayana maana kabisa
 
je huyu anamuweza scorpion?
 
je huyu anamuweza scorpion?
Kiongozi kushinda Au kushindwa kwenye pambano ni kitu tofauti na uwezo. Unaweza kufanya makosa ukala kitasa Au kiki ya kukumaliza. Kitu nnachozungumzia kwa huyu bwana ni kua uwezo wake ni mkubwa sana. Amekua chini ya wakufunzi mbali mbali wakubwa nchini na nje ya nchi. Kwa uwezo aliokua na speed aliokua nayo kipindi Kile angeweza kupanda jukwaani na mpiganaji yoyote. Popote
 
mwana mwanza anaemkumbuka master clay,huyu alikuwa habari ya mjini bwana alikuwa mpole mstaarabu lakini shughuli yake haikuwa yakitoto

Habari ya mjini??..ahaa nimekupata sasa kumbe mjini mwanza? basi sawa
 
ivi ile michezo ambayo anacheza kama boyka kwenye movie ni aina gani aiseee... yani kama ile haipo kwenye hayo mliotaja hayo naona yatakua hayana maana kabisa
wansemaga inafanana sijui na kombat hata mi siujui naskiaga tuu
 
Kidogo naona anapata kuperuzi ulimwengu wa martial arts ulivyo
hongera sana...ila Shaurinj, Karate, combat, Taekwondo, Muai Thai, Kung Fu, Gurujuuu....hiyo
tuliisha stafu kitambu kirefu.
Majina yenyewe kuyaandika hujui. Itakuwa mchezo wenyewe?
 
Dhumuni na lengo sio kuoneshana umwamba wako mafundi na wametulia tu nia ni kukuza na kuendeleza mchezo ila watu wengi wajifunze
 
kwani aliyeko jela si huyu chief kiumbe, yule aliyekuwa na wolper, au sio huyu, nauliza tu
 
kwani aliyeko jela si huyu chief kiumbe, yule aliyekuwa na wolper, au sio huyu, nauliza tu
Sio huyu hata kidogo. Wengi wametumia jina hilo kutokana na kujifafanisha kwa kumpenda huyu. Alipokamatwa huyo unayemsema na kuona kwenye gazeti wengi tulistuka. Tukamtafuta sensei akasema nipo. Ni vijana walionipenda hao. Yani ni kama watu kujiita dame mkuu. .... mpaka huyu maarufi anaeimbwa kila siku hilo jina katoa hapo kwa huyu sensei
 
A
Alizicheza wapi? Aje Mtaani Aoneshe Kwa Vitendo Dhidi yangu halafu ndio utajua wapiga karate wapo wengi tu mahiri ila ni wa kimya kimya - no misifa. Try me
 
A

Alizicheza wapi? Aje Mtaani Aoneshe Kwa Vitendo Dhidi yangu halafu ndio utajua wapiga karate wapo wengi tu mahiri ila ni wa kimya kimya - no misifa. Try me
Ni kweli unayosema. Ila haikua tangazo la kutafuta pambano. Hatafuti sifa. Tuliomfahamu tumemkumbuka kwa kua ni mwalimu wetu. Kama una uwezo wa kimpiga uweke kwa mwenye uwezo unaolingana na wako. Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…