TANZIA Mcheza mieleka, Bray Wyatt afariki dunia

Mama yako hajambo, tatizo anaumia mwanae tangu ulipo hamia huko daslam umekua wa kula bata na maji, hata sim yako umemua chia binti ambae kila siku anatujibu "namba unayo piga kwa sasa haipatikani"...😔
Soon nakujaa na kuku was kuchora😂😁
 
Alikuwa ni kibonge mwepesi mr. Bray Wyatt. Kundi lao lilikuwa linatisha balaa hasa pindi ile wako na battle na “ the shield”.
 
Alikuwa ni kibonge mwepesi mr. Bray Wyatt. Kundi lao lilikuwa linatisha balaa hasa pindi ile wako na battle na “ the shield”.
Yeah, sema Kuna ma vibonge kumzidi😂🤣.
👉Kuna Lile Lina Rika Kama kambale🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…