Mama yako hajambo, tatizo anaumia mwanae tangu ulipo hamia huko daslam umekua wa kula bata na maji, hata sim yako umemua chia binti ambae kila siku anatujibu "namba unayo piga kwa sasa haipatikani"...😔Vipi mna endelea viZuri huko uzunguni😂😁
Soon nakujaa na kuku was kuchora😂😁Mama yako hajambo, tatizo anaumia mwanae tangu ulipo hamia huko daslam umekua wa kula bata na maji, hata sim yako umemua chia binti ambae kila siku anatujibu "namba unayo piga kwa sasa haipatikani"...😔
Wachawi wanajuanaWWE I'll changamka Sana, na battle zake.
rest well legend Bray wyatt
Utoe wapi huo ubavu wa kumzaa jitu lizima mmepishana miakaMama yako hajambo, tatizo anaumia mwanae tangu ulipo hamia huko daslam umekua wa kula bata na maji, hata sim yako umemua chia binti ambae kila siku anatujibu "namba unayo piga kwa sasa haipatikani"...😔
Wewe ni mdogo au jizee linapakaa chokaa tu na viini macho nimemkosea kivipiAcha kumkosea Heshima mzee wangu Ushimen 🤒
Mchawi nani 🤔Wachawi wanajuana
Daah mi mdogo kiumri aiseeWewe ni mdogo au jizee linapakaa chokaa tu na viini macho nimemkosea kivipi
HaswaNafikiri ni steroids, zinawauwa wengi na kuwanyima nguvu za kiume wakifika 35.
Yeah madawa ya kusisimua misuli, ndo Yana waponza aiseeHaswa
Wengi sana hawafiki 40
Wanawaona wenzao wakifa kwa heart attack lakini hawakomi kisa hela wanazopata
Ila huu mchezo sio mbaya bali madawa wanayotumia ndio yanawamaliza
Yeah, sema Kuna ma vibonge kumzidi😂🤣.Alikuwa ni kibonge mwepesi mr. Bray Wyatt. Kundi lao lilikuwa linatisha balaa hasa pindi ile wako na battle na “ the shield”.
🤣🤣 Linaitwa nani mkuu?Yeah, sema Kuna ma vibonge kumzidi😂🤣.
👉Kuna Lile Lina Rika Kama kambale🤣😂
Sili Kumbuki jina, ila ni linene aisee😀🤣🤣🤣.🤣🤣 Linaitwa nani mkuu?