Mchezaji kutokea Mkoani Kigoma akutana na Leonel Messi uso kwa uso uwanjani

Mchezaji kutokea Mkoani Kigoma akutana na Leonel Messi uso kwa uso uwanjani

Umezingua ungeandika kiungwana wewe umekomaa na Kigoma ile bendera iliyoandikwa Bernie ni bendera ya Kigoma? Sometimes kabla hujaandika tafuta watu wahariri andiko lako kabla haujawachefua watu
Kwasasa usifafanue usahihi ni badala ya kupinga
 
Waafrika wengi wakipata namna ya kufika huko wataenda wengi, tuna wachezaji wengi wazuri, na wengi hawajui wapi pa kuanzia ili waweze kufika mbali. Ni vizuri kuwepo na wakala watakaokuwa wanachukua wanamichezo wenye vipaji, na kuwafanikishia ndoto zao.​
Wewe umeongea points nzuri sana mkuu Ila wale jamàa waliokaa pale Bodi ya Michezo TZ - BMT ukiwaambia hili hawakuelewi
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
[emoji1241]
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Naona MWANA KIGOMA zimekuwa nyingi balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
[emoji1241]
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Huwa nafurahi sana ninapomuona Leo Messi akiwa na furaha maana ndipo kipaji chake kinapoonekana na kutuburidisha mashabiki wa mpira naona USA ni sehemu salama kwake.
 
Nyarugusu ni Kambi ya Wakimbizi ipo Makere,Wilaya ya Kasulu.Kinachotokea ni kwamba mitaani hasa pale Makere ambako Kambi ipo kumejaa Wakongo na Warundi ambao wamehama Kambini na wanaishi mitaani walikopanga na wanaendelea na maisha yao.Kama alihamia Marekani basi ni wale wanaopelekwaga huko nje kupitia msaada wa Shirika la Kimarekani la IOM
Nilikuwa nataka kuuliza aliweza kufika vipi USA?
 
Nyarugusu ni Kambi ya Wakimbizi ipo Makere,Wilaya ya Kasulu.Kinachotokea ni kwamba mitaani hasa pale Makere ambako Kambi ipo kumejaa Wakongo na Warundi ambao wamehama Kambini na wanaishi mitaani walikopanga na wanaendelea na maisha yao.Kama alihamia Marekani basi ni wale wanaopelekwaga huko nje kupitia msaada wa Shirika la Kimarekani la IOM
Ama UNHCR kama resettlement program. Nilikutana na familia moja ya kutoka Syria Norway waliniambia UNHCR walienda kambini kwao Turkey na kuwachagulia wakimbizi waliokidhi vigezo nchi za kwenda siyo wao kuchagua.
Kuna waliopelekwa Australia, Marekani,Canada, Uingereza, Ujerumani. Wao wakachaguliwa kupelekwa Norway. Walihuzunika sana walitamani Marekani, Canada, Australia ama Ujerumani. Lakini walipofika Norway hawajajuta wakasema this is paradise.
 
Mimi nilishangaa juzi kuna barabara ya lami Kigoma. Hicho kitu kilinishangaza sana.

Halafu serikali ifanye haraka kuibadilisha hilo jina Nyarugusu limekaa vibaya sana. Kuna majjina mazuri tu waipaite kama Norfolk, Cambridge, barker street, spring valley, Bolton etc.

Magonjwa Mtambuka
Acha utumwa wa fikra ww mkosha vikombe
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Umeandika kiukabila sana .
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
Niliziona taarifa za huyu kijana lakini kwa mitandao huku inavyomuongelea ni kuwa ni Mkimbizi na jakujitambulisha wala kutambulishwa kuwa anatokea Tanzania. Hii imekaaje? Jaribuni kuifuatili hii
 
Naona uliyeandika hapa utakuwa wa kigoma. Huyu Ni sifa za Taifa Zima Ila zingekuwa mbaya ndio zingekuwa za wanakigoma pekee kwenye uzuri ama sifa Ni Taifa Kama Taifa na sio kigoma Kama kigoma
Mbona hataki kumsifia mwijaku mwana kigoma mwenzie?
 
Mbona hataki kumsifia mwijaku mwana kigoma mwenzie?
Amefanya impact gani kwa nchi yake kimataifa hadi amsifie? Mboni hamsifii Baba levo ambae anajisifia kufika SA na Dubai?
 
Huyu ndio Mwana Kigoma
Makali ya Bernad Kamungo yalianzia hapa katika uwanja huu wa Nyarugusu, kwenye ardhi ya mkoa wa Kigoma.

Alizaliwa January 1, 2002, Kasulu kijiji cha Nyarugusu.

View attachment 2711820
...........
Hapa ni Kigoma Kasulu,
Huu ndio uwanja wa Nyarugusu ambapo makali ya Bernard Kamungo yalianzia hapa, kwasababu yeye alizaliwa hapa Kigoma, ni Mwana Kigoma.

View attachment 2711823
..........
Uwanja wa Nyarugusu Kasulu, uwanja uliomkuza na kumlea MwanaKigoma Bernard Kamungo.

View attachment 2711827
................
Bernard Kamungo, namba 30 BHN
Hapa sasa alikua amefika Marekani kutokea Kigoma, Nyarugusu

View attachment 2711830
................
Kwa mara ya kwanza Tanzania ikaanza kung'aa nchini Marekani kupitia michezo, Bernard Kamungo akaanza kuipeperusha bendera ya Tanzania na kugonga vichwa vya habari nchini Marekani. Huyu ni mwana Kigoma.

View attachment 2711832
................
Wachezaji tisa wa Tanzania wanaocheza nje ya Nchi kwenye picha moja.

» Bernard Kamungo (jezi no 5)
'Mwenye bleach' kutoka katika klabu ya FC Dallas ya ligi kuu Nchini Marekani inakuwa mara yake ya kwanza kuitwa Taifastars
🇹🇿
. Mtoto wa Kigoma

View attachment 2711834
..................

Bernard Kamungo (Mtoto wa Kigoma, shujaa wa Lake Tanganyika) akiwa na Mbwana Samata katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania.

View attachment 2711837
..............
Huyu ndio mwanakigoma na Mshambuliaji wa Kimataifa wa timu ya Tanzania anayekipiga katika klabu ya FC Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo aliifungia timu yake goli katika sare ya 4-4 dhidi ya Inter Miami CF anayochezea Lionel Messi.

Kutoka kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma alikocheza soka mtaani hadi kucheza soka nchini Marekani, safari yake inaonekana kama filamu ya michezo yenye mabonde na milima.

Kamungo alisajiliwa Dallas FC mwaka 2022 ambapo yeye na familia yake walihamia Texas, Marekani mwaka 2016.

Nyota huyo ameendelea kuwa na msimu mzuri ambapo Januari 2023 aliitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania.

Kutoka kigoma Tanzania Hadi marekani na kuwa mfalme wa FC Dallas
Kutoka kucheza chandim Hadi kucheza na Lionel Andrés Messi, na kuonesha upinzani mkubwa walipokutana uwanjani.
Anaitwa Bernad Kamungo mshambuliaji wa FC Dallas na timu ya Taifa ya Tanzania.

View attachment 2711841
SAwa wa kigoma,anamchango gani Sasa kwa wanakigoma?
 
Pia mchezaji Alphonso Davis anayeichezea Bayern Munich na Timu ya taifa Canada naye na Familia yake walikuwa resettled kama wakimbizi Canada kutoka kambi ya ukimbizi Sierra Leone. Asili ya Alphonso Davies ni Liberia.
 
Huyo ni mkimbizi kutoka Congo. Nyarugusu ni kambi ya wakimbizu kutoka Rwanda, Congo na Burundi
 
Back
Top Bottom