Mchezaji kutokea Mkoani Kigoma akutana na Leonel Messi uso kwa uso uwanjani

Umezingua ungeandika kiungwana wewe umekomaa na Kigoma ile bendera iliyoandikwa Bernie ni bendera ya Kigoma? Sometimes kabla hujaandika tafuta watu wahariri andiko lako kabla haujawachefua watu
Kwasasa usifafanue usahihi ni badala ya kupinga
 
Wewe umeongea points nzuri sana mkuu Ila wale jamàa waliokaa pale Bodi ya Michezo TZ - BMT ukiwaambia hili hawakuelewi
 
Naona MWANA KIGOMA zimekuwa nyingi balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa nafurahi sana ninapomuona Leo Messi akiwa na furaha maana ndipo kipaji chake kinapoonekana na kutuburidisha mashabiki wa mpira naona USA ni sehemu salama kwake.
 
Nilikuwa nataka kuuliza aliweza kufika vipi USA?
 
Ama UNHCR kama resettlement program. Nilikutana na familia moja ya kutoka Syria Norway waliniambia UNHCR walienda kambini kwao Turkey na kuwachagulia wakimbizi waliokidhi vigezo nchi za kwenda siyo wao kuchagua.
Kuna waliopelekwa Australia, Marekani,Canada, Uingereza, Ujerumani. Wao wakachaguliwa kupelekwa Norway. Walihuzunika sana walitamani Marekani, Canada, Australia ama Ujerumani. Lakini walipofika Norway hawajajuta wakasema this is paradise.
 
Acha utumwa wa fikra ww mkosha vikombe
 
Umeandika kiukabila sana .
 
Niliziona taarifa za huyu kijana lakini kwa mitandao huku inavyomuongelea ni kuwa ni Mkimbizi na jakujitambulisha wala kutambulishwa kuwa anatokea Tanzania. Hii imekaaje? Jaribuni kuifuatili hii
 
Naona uliyeandika hapa utakuwa wa kigoma. Huyu Ni sifa za Taifa Zima Ila zingekuwa mbaya ndio zingekuwa za wanakigoma pekee kwenye uzuri ama sifa Ni Taifa Kama Taifa na sio kigoma Kama kigoma
Mbona hataki kumsifia mwijaku mwana kigoma mwenzie?
 
Mbona hataki kumsifia mwijaku mwana kigoma mwenzie?
Amefanya impact gani kwa nchi yake kimataifa hadi amsifie? Mboni hamsifii Baba levo ambae anajisifia kufika SA na Dubai?
 
SAwa wa kigoma,anamchango gani Sasa kwa wanakigoma?
 
Pia mchezaji Alphonso Davis anayeichezea Bayern Munich na Timu ya taifa Canada naye na Familia yake walikuwa resettled kama wakimbizi Canada kutoka kambi ya ukimbizi Sierra Leone. Asili ya Alphonso Davies ni Liberia.
 
Huyo ni mkimbizi kutoka Congo. Nyarugusu ni kambi ya wakimbizu kutoka Rwanda, Congo na Burundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…