Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

Yani mwanaume mzima unakimbia dhambi? Mwanaume mzima unaogopa kifo? Kweli nimeamini wanaume tumebaki wachache sana.
Tufanye hivi; una mke na mtoto alafu una kimada, sasa basi unaongea na kimada wako aje kwako walipo mke na mwanao usiku wakiwa wamelala.

Ilipofika saa 23:49 wamelala fofo, kimada akaja ukafungua mlango alipofika sebuleni mkaanza mambo yenu, gafla dogo/mwanao akatokea alikuwa anaenda msalani, akawakukuta (empty) huku kimada ananing'ia miguu kakushika mabega.

🔺Ikimbie dhambi mkuu!.
 
Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
Nna wasiwasi huyu jamaa ni yule aliyekutwa chumbani kwake na mkuu wa wilaya ya Tunduru na binti wa miaka 12
 
Ahahahahaha.
Mleta mada umenikumbusha mbali sana.
Kuna siku kuna kabint asubh asubh kamekuja nyumban et kanaomba msaada kanateswa kwa boss wake kanataka kurud kwao.Nilikua nimelala bado na ilikua weekend kamvua kananyesha nyesha.Wife kashaamka na watoto pia.
Bas wife akampiga maswali kishenziiiii kisha akaja kuniaamsha et "nimsadie achukue uamuzi gani".

Kwa mujib wa intelijensia ya kichwa changu nikajua kabisa huu ni mtego wife kuna kitu anataka ku confirm kama anachezewa mchezo like kuna kinachoendelea. 😂😂 akil mtu wangu ..kwa kuligundua hilo nikatuliza nafsi kisha nikamwambia wife, unataka nifanyaje sasa kama wewe ushamuhoji, ? Akasema na wewe muulize ..
Nikamiuliza jina lake (naona wife anatutazama kwa makin sana asome kitu) .Aliponijib maswal kadhaa nikamwambia wife,
Msaidie ila usimruhusu huy kuondoka kwanza mpigie simu mjumbe aje amhoji kisha amchukue na kama unataka kumsaidia nauli mpe mbele ya mjumbe.
Nikarud ndani nacheeka rohoni. Wanawake bwana!!
 
Siku hizi hata siwapi kazi ke kwa ofisi yangu ,Toka mlinzi ,cleaner mpaka mawakili it's a male zone ,Huwa na avoid instances za kijinga Kama hizi .
Kingine eti msichana anionbe Hela sijui hajala au amepotea au simu ampigie mamake amtumie nauli Huwa sifanyi .
Sitaki mind games nnzaoona siku hizi , usaidizi kwangu umeishia kwa jinsia yangu tu labda mke na watoto wangu wangu wa kike ,sawia pia ukipatana na wa kwangu ww mwanaume usimsaidie hata maji anitafute mie au ke wenzake .
Cheka na Ile jinsia nyingine utajipata kizimbani ukiuma Chuma
We noma,
 
Kuna wakati naanza kazi ya ualimu niliponea chuchupu kupakaziwa nalabua wanafunzi, Kwa kuwa nilikuwa mgeni awali kwa nia nzuri tu wanafunzi wakubwa walikuwa wanakuja kunipatia msaada wa kuchota maji na kupika wanapokuwa wapo mapumziko. Tabia ikazoeleka yapata miaka miwili walimu wenzangu wakongwe wakaanza kuingiwa na wivu kwa nini bado naendelea kupikiwa. Chuki ikaingia wakapanga kunilipua kwa kuwatumia haohao mabinti wanafunzi wanipakazie kuwa huwa nawatongoza na kuwashika matiti wakimaliza kupika na huwa wananipa penzi. Mabinti saba wawili wakakataa kunisemea uongo mbele ya mkutano wa baraza la shule ikawa pona yangu. Ilikuwa niende na maji. Tangu wakati huo sitaki mabinti wanafunzi waje washiriki kuniandalia chakula chumbani kwangu ni balaa
miaka miwili unawaleta wanafunzi geto wapike tu??? sema ulikulaa ila ndo hivyo umeponea chupuchupu..
 
Tufanye hivi; una mke na mtoto alafu una kimada, sasa basi unaongea na kimada wako aje kwako walipo mke na mwanao usiku wakiwa wamelala.

Ilipofika saa 23:49 wamelala fofo, kimada akaja ukafungua mlango alipofika sebuleni mkaanza mambo yenu, gafla dogo/mwanao akatokea alikuwa anaenda msalani, akawakukuta (empty) huku kimada ananing'ia miguu kakushika mabega.

🔺Ikimbie dhambi mkuu!.
Dogo wewe ni mwanume bana. Mwanaume haogopi dhambi, ukimwi na kifo. Kweli nimeamini wanaume tumebaki wachache sana.
 
Yule jamaa kakosa kazi et saa tano unaenda kufanya fumanizi, alafu unasisitiza watoe majibu unayotaka ww kwa kwenda kuhoji nje ya kamera,
Inakuwaje hapo.
Kutaka sifa tu.
Angekuwa mdogo wako au mwanao ndio kafanyiwa hivyo ungeelewa umuhimu wa DC kuwepo hapo, usichokijua ni kwamba huyo jamaa mchezo wa kukigonga hicho kitoto anao muda mrefu na taarifa zilishamfikia mpaka D, akitoka salama akatambike.

Tuviheshimu hivi vibinti chini ya miaka 18 la sivyo vitawatia sana matatizoni.
 
[emoji2][emoji2][emoji2]Ilikuaje..
Binti alipotea kwao siku mbili, wazazi tafute wewe, kumbe alikuwa nyumba ya jirani inawapangaji wengi, wale wapangaji walijua Kama yupo mle geto na bwana, Sasa Kuna mama mmoja ni mpangaji mlemle kaenda kuwaambia wazazi wake Yule binti yupo ndani kwa fulani, Ila mi sitaki ushaidi Kama mi nimewaambia, na nimewaambia kwakuwa nimeguswa na nimeona maangahiko yenu, naona kukaa kimya ni dhambi, wameenda kumwita mwenyekiti na shehe, watu kibao na ndugu zao, wakafungishwa ndoa bila maandazi Wala chai, ndoa ya mkeka ndo hiyo.
 
Siku hizi hata siwapi kazi ke kwa ofisi yangu ,Toka mlinzi ,cleaner mpaka mawakili it's a male zone ,Huwa na avoid instances za kijinga Kama hizi .
Kingine eti msichana anionbe Hela sijui hajala au amepotea au simu ampigie mamake amtumie nauli Huwa sifanyi .
Sitaki mind games nnzaoona siku hizi , usaidizi kwangu umeishia kwa jinsia yangu tu labda mke na watoto wangu wangu wa kike ,sawia pia ukipatana na wa kwangu ww mwanaume usimsaidie hata maji anitafute mie au ke wenzake .
Cheka na Ile jinsia nyingine utajipata kizimbani ukiuma Chuma
Safi sana nmependa msimamo wako hao viumbe sometime ni konyo sana
 
Back
Top Bottom