Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa


Hahaaaa watu wa haki za binadamu mmeanza kutetea magaidi hebu tuwekee link tuone hizo tuhuma za drones kuua wananchi huko mashambani.
 
Siro ajipange maana magaidi watakua wamekimbilia kwetu.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
kwa hao raia vile wanazungumza inaonekana mchumbiji ardhi yao bado bikra sana, yaan kuna fursa kubwa sana huko.
 
Kwahiyo we mjuaji kuliko waganda wenyewe?



 
Kuna kitu nimekigundua kijasusi
Hili kuonekana tanzania ikiingia watasambalitaka kurudi huku kama kibiti.ndio maana wametumia kijografia kutuma rwanda kusambaratisha.
Wakirudi tanzania na mipaka ya nchi zinazozunguka mingine watafinywa kitaalamu zaidi bira kutumia nguvu sana
 
cc Gentamycine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…