Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi la Rwanda linastahili sifa lakini pia tupeane fununu juu ya kinachoendelea huko.
Rwanda kapewa shavu na Ufaransa sababu ya maslahi ya Ufransa kwenye kampuni yao ya Total.
Rwanda wanatumia drone za kutosha kuwasaka jamaa hadi misituni.
Kwa bahati mbaya kuna tuhuma wanaua na raia yeyote anayekutwa kimakosa kwenye lens za drone zao akiwa maporini huko.
Walitakiwa wananchi wa huko waambiwe wasiende mashambani au maporini wakati huu kama majeshi yetu ya Tanzania yalivyofanya Kibiti.
Jambo baya zaidi huko Msumbiji wanatutuhumu watanzania tunahujumu mradi huo wa gesi ili hawa wawekezaji warudi Msimbati Mtwara kwenye gesi nyingi sana kuliko Msumbiji. Watanzania wapo hatarini sana wakikutwa mitaani huko Msumbiji hasa maeneo ya kaskazini.
Wanasumbuliwa sana hata na vyombo vya dola vya kule.
Hii imechangiwa zaidi na wale maghaidi wanaongea kiswahili safi cha kitanzania.
Ukweli ni kwamba kuna uwezekano mkubwa walioanzisha vurugu zile ni wale waliokimbia Tanzania. Hivyo serikali ya Tanzania kutuhumiwa inahusika kuhujumu ni mawazo ya kipuuzi. Wale ni wapuuzi tu wanadhani wanamjua zaidi Mungu kuliko wenzao.
Sio kudhani Tu...wanajua kweli
Wamekimbilia kwenu KigaliSiro ajipange maana magaidi watakua wamekimbilia kwetu.
View attachment 1886207
View attachment 1886210
A towering figure among the maltitude.General alie ilejeshea amani Msumbiji ndani ya mwezi mmoja tu.
Brigadier General Padcal Bahizi.
View attachment 1885663
Nasikia wanawabaka kabla ya kuwauaWanyarwanda hawana huruma, acha wawashikishe adabu hao vijana.
Kwahiyo we mjuaji kuliko waganda wenyewe?Rwanda bwana
Kagame anajisikia sana yaani....hapo wanajitangaza kila media kwamba wao ni saviours
Not true
Rwandan soldiers are just normal useless clowns,Ugandans take them for the lunch!
Tatizo Kagame anajitia anapenda sana aonekane supreme wakati ni lies
Mbona mwaka 2010
Siku akitofautiana na Kagame tu hana bahatiGeneral alie ilejeshea amani Msumbiji ndani ya mwezi mmoja tu.
Brigadier General Padcal Bahizi.
View attachment 1885663
cc GentamycineAcha hizi story za kisenge za 10 years ago kwenye nchi ambayo sio Uganda au Rwanda,
Ni Congo walikutana huko,with different motives,hivyo usilete hizi alinancha
Refer ugomvi wa Kagame na Museveni in 2019-2020 wa mpaka wa Rwanda na Uganda ,Kagame kaomba msamaha mwenyewe!
Kagame ni msenge tu...anatumia media kujitangaza ana uwezo mkubwa but in reality hiyo ni marketing tupu,Kikwete anamjua vizuri
Kwanza alijifanya kumletea mdomo Mkapa,akanyooshwa,then akajifanya kumfunulia pua Kikwete,akanyooshwa
Kagame ni kiazi kabisa