Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Kipi kati ya ulivyotaja hapo Rwanda inaizidi Tanzania. Technology? Tactics? Weapons? Military intelligence?

Geographical size and terrain matters. You have various references, Operation Barbarossa between Nazi Germany & Red Army, Iran- Iraq war

Unaitumia China na Japan kama comparison, Japan at the time was superpower na China ilikuwa maskini wakutupwa ikiwa na utapiamlo na haina organized government. Sasa kwani Rwanda ni superpower au Tanzania iko disorganized

Case ya Israel ni special kabisa. Nchi gani nyingine duniani ambayo UN iliwapa eneo la kukaa tofauti na Israel, nchi gani nyingine ilitafitutiwa eneo la kukaa na mkoloni wa hilo eneo. Israel ilipobanwa mbavu na Egypt kwenye Yom Kippur war, sorties za allies zikaanza kushusha silaha ambazo hata hawakununua walipewa bure. Israel na Rwanda haviendani, Rwanda ni kanchi kanakolindwa kwa mtutu muda wowote Kagame akiondoka wanapigana tena
Ni kweli mkuu..ila mm sijasema kwamba rwanda anaizid tz kwa lolote.. hapo nimetoa kama caution! Kwamba tusiwe wajingwa kupumbazwaa na sifa ya kuwa nchi kubwa na huku tukisema rwanda ni nchi ndogo..hapo ndo nimetoa angalizo tu na sijasema rwanda anamzid tz au tz anamzid rwanda mana mm sio top security officer wa tz wala wa rwanda. They themselves know each other.
Nimetoa angalizo na kusisitiza kuwa jeshi letu nalo liendelee kujdhatiti kitechnologia zaida
 
Silaha ndogo kabisa hizo za masafa mafupi tu! Haina tofauti na RPG.
Huko ni kukosa eshima.yani Buk missile ufananishe na RPG.Buk ni ulinzi tosha ndugu,kwenye Vita vya Urusi na Georgia Buk ilitungua ndege nyingi za Warusi.

Marekani alishambulia Syria kwa makombora ya Tomahawk,mengi ya makombora yalitunguliwa na mfumo wa Buk.juzi tu hapa Israel imeshambulia Syria kwa ndege zake aina ya F-16 lakini makombora karibu yote yameshushwa na mfumo wa Buk.

Nitajie hata nchi 10 Africa zenye kumiliki huu mfumo kama unaona ni wa kawaida
 
Achana na chama kinachoitwa SADC aisee! Yani Gaidi anaweka HQ na airport Macimboa da praia mwa bahari ya hindi na kupata supply,sasa tujiandae kusikia wamehamia Tanzania na kuweka HQ yao soon.maana hii Macimboa da praia ndio base waliobakinayo tu! Na hawana nyingine ya kukimbilia tofauti ta Tananzania.
Itoshe kusema Tanzania 🇹🇿 sio Bogus.
Unaweza kuisifu nchi yako bila kuizodoa kiujanja ujanja Tanzania.. Tanzania imawelaea Rwanda, na tuliwatunza kipindi cha magumu yenu. Kuwa na adabu. Tanzania ni kaka mkubwa kwa Rwanda. Ni ndugu zetu nyie.

Najua Wanyarwanda wengi wanalijua hili na wala hawana haya majigambo uchwara ya hapa JF.

Taja kazi nzuri ya Rwanda ila achana na Bongoland kabisa!
 
La kujiuliza je hawa magaidi wamekimbiia wapi!?
Haiwezekani kuwa wmejichanganya uraiani kuwazubaisha wanamgambo na kujipanga upya!?
 
Mkuu tutulie kwanza hapa. Naomba unipe tetesi hizo kwangu ni mpya.

Pantsir ndio iliyotajwa ile siku wanazindua kambi ya Morogoro Gen. Mabeyo akajichanganya kwenye speech akatoa siri. Sikuwahi sikia speech sijui walizitoa kwenye YouTube channels ila niliposoma kwamba kataja mifumo ya ulinzi, akili ya kawaida na shauku ikanituma niamini ni Pantsir. Kama ni kweli wamechukua chaguo sahihi kwa short range air defense

Hivyo vifaru kutoka Russia ni type gani. Naamini hatuwezi afford T-90 wala T-72 kirahisi. I bet ni modified T-64 ambazo ni outdated sasa. Kama tetesi zako ni sahihi, tulikuwa na option ya kuongeza Type 59 tulizonunua China ambazo somehow ziko vizuri kwa level yetu. Tanzania kiukweli kwenye vifaru tuko nyuma ila inventory huwa zinapigana gap. This time mfano Kenya wakinunua vifaru bora zaidi tunakuwa na vifaru inferior, next time tukiagiza vinakuwa superior. Hivo yani

Hizo boats ulizopost chini ya hii naona kama ni patrol boats unajua ni class gani. Hizi ndio zinazuia magaidi, wavuvi haramu na wauza madawa

Alafu siamini kama tuna uwezo wa kumiliki Mig-29. Gharama ya kununua tutajibana ila operating costs ni kubwa. Hata tukichukua units zitakuwa kidogo. India wana uzoefu nazo sana wanaweza tusaidia katika hili. Ila tunaweza opt kwa J-17 za China & Pakistan, naamini tunaziweza

Ila Tanzania inachukua silaha kimyakimya. Ni rahisi nikajua Kenya ina nini ila nikija kwetu nahangaika siambulii kitu
aisee sijayajua majina ya kifaru niliishia kuhesabu lakini pantsir tuliziona mpyaa mzee hapa moro hasa eneo la msamvu stend tunafaid sana mitambo ya kijeshi kuhusu ndege mimi nahisi ile ni mag 29 maana ina mdomo mrefu sana huenda tumeinunua kwa bei rahisi kutoka ukrein
 
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.

Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.

Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?

Mungu tunusuru! [emoji848]
Acha upunguani we ndezi japo nai dis ccm kwa ujinga wake lkn acha kui underrate tz ww hako ka rwanda kenu kama mmechoka kukaona kwenye uso wa ramani ya dunia kajaribu hata kurusha unyoya tu kwa dhamira ya ugomvi kama katasalia

Jw ni habari ingine
 
aisee sijayajua majina ya kifaru niliishia kuhesabu lakini pantsir tuliziona mpyaa mzee hapa moro hasa eneo la msamvu stend tunafaid sana mitambo ya kijeshi kuhusu ndege mimi nahisi ile ni mag 29 maana ina mdomo mrefu sana huenda tumeinunua kwa bei rahisi kutoka ukrein
Mig 29 hatuna uwezo nazo na zingetangazwa kimataifa
 
Acha upunguani we ndezi japo nai dis ccm kwa ujinga wake lkn acha kui underrate tz ww hako ka rwanda kenu kama mmechoka kukaona kwenye uso wa ramani ya dunia kajaribu hata kurusha unyoya tu kwa dhamira ya ugomvi kama katasalia

Jw ni habari ingine
Mbona kipindi kile kikwete alituogopa? Kikwete anaijua nguvu ya Rwanda.. Bahima Empire.
 
Unaongea ukiwa Burundi au Bangui? Yaani nchi ambayo ukiwa Tabora unapiga Popote unapotaka ukienda Karagwe itakuwaje si unalenga Ikulu na RPG
[emoji23][emoji28][emoji28]kuna watu wanasifa sana hata hawaelewi kipi ni kipi kazi kusifia Tu
 
Sidhani kama unajua kilichowapata M23 kule DRC enzi za JK akiwa Presdaa; ungelijua hilo ungekuja na kauli tofauti na uliyoitoa hapo juu.
M23 walikuwa na full backup ya haohao unaowapigia chapuo; walisumbua kiasi cha kutaka kuiondosha serikali iliyokuwa madarakani DRC wakati ule!!
Juliet Whiskey Tango Zulu ndio waliowafurusha hao vijana wa "Tall" kutoka DRC; mpaka "Tall" akanuna!!
Leo hii kwa kuwa vijana wa "Tall" wameondosha "kikundi" cha freelance wapiganaji, wasiokuwa na mkakati wowote wa kijeshi, majambazi, wezi na waporaji unawapa credit vijana wa "Tall"?
Hapakuwa na vita huko Msumbiji; palikuwa na ujambazi tu. Kilichofanyika ni jambazi kukabili jambazi mwenzie tu.
Hakuna vita ya kuua raia, kuiba mali za raia na kubaka; vita ni combat kati ya askari na askari; na ni kitendo halali pale nchi inapokuwa imevamiwa kijeshi " fully" sio kwa insurgents au majambazi kama wa Msumbiji. Umeelewa?
Eti umeelewa[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]ndio tumeelewa mkuu deep kabisa maana wengine hizi mambo za vita ni mlolongo!
 
Tunajua ni jinsi gani Rwanda imenunua watu wa kufanya Propaganda hapa, Kuna hata watangazaji hawamalizi kipindi bila kutaja Rwanda, mfano Ciza wa Clouds na Power Breakfast, wewe ni mmoja wapo kwahiyo haishangazi. Ila Tanzania na kila mtu anajua kwa ukanda huu vita mbaya na ngumu kwetu hakuna kwa majirani zetu
TANZANIA ni mbabe wa Vita analogy, tuko kwenye digital era
 
Unachofanya ni Argument ya kitoto sana Boss na huenda hujapata taarifa kuhusu huko Msumbiji. Ni hivi , the fact kwamba rwanda inaelekea kumaliza hao magaidi msumbiji haimaanishi Tz tumeshindwa bali nchi yetu haijataka kujiingiza katika huo mgogoro kabisa yani hatujaamua kutumia military interventions
Na pia sababu ya jeshi la msumbiji kuwashindwa hao wavaa makobazi isikufanya ukae hapa JF udhani jeshi la msumbiji lipo weak ki hivo ila kilichotokea ni kwamba kuna usaliti jeshini na serikalini kuna watu wana interest na uwepo wa hao magaidi hivo ndio mana magaidi wakawepo huko ila jeshi lina silaha za kutosha
Natamani ningekuwa na muda nikuwekee hapa ushahidi mwingi tu ila sina muda. Nikupe mfano mwingine mmoja.hapo Zaire waziri wa ulinzi alikuwa anashirikiana na waasi, ma jenerali wanaiba pesa zilizotolewa kama budget ya vita, ma jenerali pia wanataka kumuua rais, ma jenerali hao hao pia wana interest zao zingine mbali na pesa, kilichokuja kutokea ni wanajeshi waliuliwa maana war plans ziliuzwa kwa waasi yani leo mnashinda vita then baada ya siku chache mnauzwa then mnakufa
Kilichotokea mwishoni ni rais kufuatwa nyumbani kwake na wanajeshi wanaotaka kumteka, ikabidi aagize kuita jeshi lake akaambiwa ndege za ki vita zilitelekezwa hivo nchi ikaanguka licha ya kuwa na jeshi lenye nguvu na silaha. Naitimisha ya kwamba usifikilie Rwanda inaweza kuipiga Tz wala Tz kuipiga Rwanda maana vita zina mambo mengi sana bwana. Hapo jeshi la msumbiji lenyewe linaweza kufanya hiyo kazi lakini unakuta watu wana intetests zao unakuta kipindi hiki hata silaha zinauzwa na wanajeshi hawali
Kuna watu wanadhani mambo ya kijeshi/kiusalama ni sawa na mambo ya Kina Alikiba na Diamond. Kuna mashirikiano makubwa sana ya nchi zetu hizi, juu ya suala la Msumbiji. Huwezi pambana na magaidi hao huko Msumbiji bila mashirikiano na Tanzania, maana kijiografia Tanzania ni mdau muhimu sana kwenye suala hilo.
 
Jamaa amenishangaza sana huyo. Ka Rwanda mnaweza kuka attack within a day tu. Ukifuatilia historia za vita tokea ww2 mpaka leo utaona kuna sababu kama geographical coverage inaweza kuathili military operation mfano wakati tunaivamia Uganda ilichukua muda mrefu kuizunguka Uganda yote na Hata wanajeshi wa ujerumani walishindwa kuiteka Ulaya yote moja ya sababu ni kwamba kuna nchi ni kubwa mno hata kama haina uwezo wa kijeshi mkubwa ila inaweza kushinda vita maana nyie mtapita maporini mpigwe baridi huko mnyeshewe na mvua muanze kufa
Haya ndio mambo yaliyomfanya Marekani kukawa na msemo maarufu sana kuwahusu 'We do desert we don't do mountains'. Iran inalindwa sana na jiografia yake kijeshi, same case to Urusi. Hili la baridi lilimkwamisha Napoleon alipowavamia na hata Mjerumani. Rwanda ni nchi ndogo mno kupambana na Tanzania. Kwanza hata supply ya bidhaa kwao ni ngumu sana kuendeshea vita ikiwa watakuwa na chokochoko na sisi. Ukiwaendeshea vita ya wiki mbili tu, warwanda watakufa njaa, wakati tanzania, mikoa ya kusini inaweza endelea lisha taifa kipindi cha vita.
 
Back
Top Bottom