Namaanisha Mpinzani wako kukupiga wewe Force King,Hahahha... natamani niwe nimekuelewa kama nilivyokuelewa...
Maana nyie mna maneno ya mafumbo, napaswa kuwa makini
inawezekana kwa kupigwa forceHiki kitu katika draft hakiwezekani bro, huwezi fika kingi bila Mpinzani wako kula kete hata Moja
hapo tupo pamoko sanaNjia nyingine ni kumtega aingie king then uiue king yake, sasa ile anaingia king wewe unakuwa huna kete ya kumvisha unakuwa ushapigwa hapo..
Bila kete kuliwa... hakuna unapoweza kupanga kete zikaachia upenyo wa kuingia kingi...Namaanisha Mpinzani wako kukupiga wewe Force King,
Yaani wewe kulazimishwa kuingia King bila kupenda,
Wewe utakula zake huyo anaekupa uingie King,Bila kete kuliwa... hakuna unapoweza kupanga kete zikaachia upenyo wa kuingia kingi...
kwenye draft huwezi kufika king km hamjalana hata kete mmoja ...hamna kitu kama icho...ingawa kuna mchezo wa kubanana ambao unaweza kumpiga mtu super bila kulana hata kete moja...nimesema mimi fundi wa draft ..
Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?Wewe utakula zake huyo anaekupa uingie King,
Lakini Yeye hatokula zako,
Mwishowe ukishagusa King, ye anakua hana za kukuvesha, ila we utakua nazoi ulizokula wakati akikupa zake
Ni kugoma tuu, au hii ni kati ya sheria za mchezo?Awali nilkuwaga sijui kuhusu hiyo sheria, nilmpiga mpinzani wangu fosi kingi ya maana wakati sote tukiwa na kete zote kumi na mbili kwa sababu sikuwa nimekula kete yake hata moja nikakosa ya kumvalisha kingi yake mpinzani akagoma kuendelea na mchezo akidai king yake itambuliwe na mchezo ukaishia apo! Kwa maana hiyo mpinzani wako akifika king ba we hujala kete yake hata moja anakuwa ameshinda kwa sheria za mchezo wa draft
dah sijawah shuhudia mtu akizama king bila kula kete ya pinzani kama unaweza basi wewe ni grand masteruwezekano upo mzee na huku hatutumii visoda
Ha ha ha,Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?
Labda nisema hivi.. mi nakupa wewe ule ili uingie kingi ili baadae ukishaingia kingi niiue king yako.. so nimekupa umekushakula na tayari umeshaingia king sas mimi nakosa kete ya kukuvisha king yako, ndo hapo game inapoisha.. maana nakuwa sina kete, nilikulisha wewe kete ili uingie king then niue king yako.Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?
Ha ha ha,
Hivi Babu hakuna uwezekano wa we kula na kuangukia katikati ambako sio mbele ya kete yake kwani?
Manake Me draft sio mtaalamu sana, nalijua kiasi tu
Labda nisema hivi.. mi nakupa wewe ule ili uingie kingi ili baadae ukishaingia kingi niiue king yako.. so nimekupa umekushakula na tayari umeshaingia king sas mimi nakosa kete ya kukuvisha king yako, ndo hapo game inapoisha.. maana nakuwa sina kete, nilikulisha wewe kete ili uingie king then niue king yako.
Dada amekushinda aisee, kila nikiangalia huo mchezo, huna jinsi ya kufika kingi wote mkiwa na kete zenu ubaoni. Ingawa sina uzoefu mwingi, nimeanza kuangalia watu wakicheza mwaka 1994 mpaka leo, jibu ni HAIWEZEKANI.Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
See Me PlzUwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.
Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia visoda itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
For??See Me Plz