Mchezo wa draft na sheria zake

Mchezo wa draft na sheria zake

Namaanisha Mpinzani wako kukupiga wewe Force King,
Yaani wewe kulazimishwa kuingia King bila kupenda,
Bila kete kuliwa... hakuna unapoweza kupanga kete zikaachia upenyo wa kuingia kingi...
 
Bila kete kuliwa... hakuna unapoweza kupanga kete zikaachia upenyo wa kuingia kingi...
Wewe utakula zake huyo anaekupa uingie King,
Lakini Yeye hatokula zako,
Mwishowe ukishagusa King, ye anakua hana za kukuvesha, ila we utakua nazoi ulizokula wakati akikupa zake
 
Wewe utakula zake huyo anaekupa uingie King,
Lakini Yeye hatokula zako,
Mwishowe ukishagusa King, ye anakua hana za kukuvesha, ila we utakua nazoi ulizokula wakati akikupa zake
Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?
 
Awali nilkuwaga sijui kuhusu hiyo sheria, nilmpiga mpinzani wangu fosi kingi ya maana wakati sote tukiwa na kete zote kumi na mbili kwa sababu sikuwa nimekula kete yake hata moja nikakosa ya kumvalisha kingi yake mpinzani akagoma kuendelea na mchezo akidai king yake itambuliwe na mchezo ukaishia apo! Kwa maana hiyo mpinzani wako akifika king ba we hujala kete yake hata moja anakuwa ameshinda kwa sheria za mchezo wa draft
Ni kugoma tuu, au hii ni kati ya sheria za mchezo?
 
Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?
Ha ha ha,
Hivi Babu hakuna uwezekano wa we kula na kuangukia katikati ambako sio mbele ya kete yake kwani?
Manake Me draft sio mtaalamu sana, nalijua kiasi tu
 
Kete ya kwanza atakayonipa nimkule... nikimkula kete yangu inakuwa imekaa kwenye nafasi ya kuliwa. Na kula si ni lazima?
Labda nisema hivi.. mi nakupa wewe ule ili uingie kingi ili baadae ukishaingia kingi niiue king yako.. so nimekupa umekushakula na tayari umeshaingia king sas mimi nakosa kete ya kukuvisha king yako, ndo hapo game inapoisha.. maana nakuwa sina kete, nilikulisha wewe kete ili uingie king then niue king yako.
 
Ha ha ha,
Hivi Babu hakuna uwezekano wa we kula na kuangukia katikati ambako sio mbele ya kete yake kwani?
Manake Me draft sio mtaalamu sana, nalijua kiasi tu

Draft hilo hapo... Ukicheza move ya pili ili nikukule... kete yangu lazima ikakae sehemu ambayo lazima utakula yangu...
draft-dume-png.56467
 
Labda nisema hivi.. mi nakupa wewe ule ili uingie kingi ili baadae ukishaingia kingi niiue king yako.. so nimekupa umekushakula na tayari umeshaingia king sas mimi nakosa kete ya kukuvisha king yako, ndo hapo game inapoisha.. maana nakuwa sina kete, nilikulisha wewe kete ili uingie king then niue king yako.

Hebu pambana na hilo draft hapo kwanza uone unachoongea kama kinawezekana...

draft-dume-png.56467
 
Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
Dada amekushinda aisee, kila nikiangalia huo mchezo, huna jinsi ya kufika kingi wote mkiwa na kete zenu ubaoni. Ingawa sina uzoefu mwingi, nimeanza kuangalia watu wakicheza mwaka 1994 mpaka leo, jibu ni HAIWEZEKANI.
 
Uwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.

Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia visoda itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
See Me Plz
 
kuna jamaa nimeshuhudia kafungwa goli la hivyo. kapiga force king na hana kete ya kuvisha na kisheria kingi haichezi bila kuwa crowned. Technical goal.
 
Back
Top Bottom