ItabidiSiku nyingine husiingie kibanda umiza kama hakuna N Card kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ItabidiSiku nyingine husiingie kibanda umiza kama hakuna N Card kaka.
amna cha FIFA hapo, haihusian kabisaHaya yote tutayamaliza mbele ya pilato wa FIFA!
Taarifa imeshatoka!!kung'ang'ania serikali ikupe sababu za kubadilisha mechi ni sawa sawa na kung'ang'ania wazazi wako wakueleze kwanini walikuzaa!!!tumia akili.Hili gazeti halina maana Kama hawajasema nini kiliwafanya wabadirishe ratiba.
Kwani wakati mechi yenu na Azam fc imasogezwa mbele, huku taarifa mikipewa chini ya masaa 6 hamkuwa mnazijua kanuni? Mbona hamkukimbia?Ndugu tatizo siyo uoga, tatizo ni kanuni zinasemaje?
Kila muwamba ngoma huvutia kwake,hata Simba pia wanadai point tatu.Mechi inarudiwa vipi wakati sheria inaitaka TFF kuipatia Yanga SC pointi tatu maana walifika uwanjani muda wa mchezo na Simba SC hawakutokea. Yanga SC nitawashangaa wakicheza huu mchezo.
Bando yako si ukaitumia kwa mambo mengine?Tulio weka bundle GB 3 tuna comment wapi,
Hivi unaweza kutaja mkuu baadhi ya hukumu tunazoweza kupewa na Fifa na namna zitakavyoikomoa Tff?Kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za FIFA Serikali hazipaswi kuingilia mambo ya soka au kuyaendesha mashirikisho ya mpira wa miguu ya nchi husika.
Hiyo ina maana kwamba hapa kwetu Tanzania, Serikali hairuhusiwi kuingilia maamuzi ya TFF.
TFF walipaswa kuikatalia Serikali iliposema mchezo wa Yanga na Simba usogezwe mbele kwa masaa 2 maana kanuni na taratibu haziruhusu.
Kutokana na hili sakata, Yanga wanapaswa kupewa point 3 na magoli 3 sababu wao wapo sahihi kikanuni. Nitawashangaa sana Yanga kama watakubali kurudia mechi hiyo. Nawashauri Yanga, ikiwa TFF itakataa kuwasikiliza kuhusu kupewa point 3 basi waiandikie FIFA barua ya malalamiko halafu tuone moto wake.
Yanga msikubali kuchezeshwa hii ngoma ya TFF na Serikali, komaeni mpewe points zenu 3 na magoli 3 sababu wenye makosa siyo ninyi, ni hao TFF na Serikali. Ninyi mlifuata kanuni na taratibu kama zinavyosema.
Kateni rufaa, andikeni barua FIFA watu waadabishwe, heshima irudi. Hao TFF wamejisahau sana hao akina Wallace Karia na wenzake.
Yanga chomeni utambi FIFA, hii ni nafasi yenu adimu ya kurudisha heshima ya soka la bongo.
Sasa kama mpira wa Tanzania tukifungiwa Yanga aliyepeleka malalamiko yeye anafaidika vipi au Fifa watamchagulia ligi nchi nyingne awe anashiriki wakati sisi tumefungiwa au Fifa watatengua urais wa Karia pale Tff na kuwapa Yanga nafasi kuweka mtu sahihi .....hebu tuambie mkuu wananchi tufanye maamuzi maana tumechokaKufikia sasa Yanga SC ndio imebeba hatima ya mpira kwa Tanzania aidha ifungiwe au lah! Yanga SC wakilisogeza hili CAF au FIFA, mpira utaanza kusahaulika.
Mimi sio shabiki wa vilabu hivi ni shabiki wa Kagera Sugar lakini TFF imekuwa na mambo ya hovyo yanayokera, nashangaa watu kulichukua hili kwa mapenzi kuliko mtazamo wa kiuhalisia.
Akili huna sasa hapa huoni hapa TFF wanapelekwa peleka unafikiri kinachofanyika ni sawa
Ilo lilikua kwa ajili ya mpira,xvideo siingiiBando yako si ukaitumia kwa mambo mengine?
Hilk tishio la kiusalama lilikuwepo? Kama lili kuwepo muda umesha pita, hatustahili kufahamu sasa ili kwa wakati mwingine tuwe na tahadhari ya kutosha?Unadhani hiyo kanuni ina apply kila mahala?
Mfano kuna threat ya kiusalama imebainika masaa mawili kabla ya mchezo, napo tutadai masaa 24 kuahirisha mchezo?
Wewe unawezaje kuchukua tahadhari juu ya hatari yoyote inayoweza kulikumba Taifa?Hilk tishio la kiusalama lilikuwepo? Kama lili kuwepo muda umesha pita, hatustahili kufahamu sasa ili kwa wakati mwingine tuwe na tahadhari ya kutosha?
Tunaishukuru Yanga kwa kugoma siku ile kuna ujumbe umeshaifikia taasisi ya tff, serikali ilishashindwa kwenye michezo ndio maana timu ya taifa inafungwa kila leoWale wapumbavu waliokuwa wanasema serikali HAIUSIKI Na TFF mmeona?.
Tusiandikie mateamna cha FIFA hapo, haihusian kabisa
Tunaishukuru Yanga kwa kugoma siku ile kuna ujumbe umeshaifikia taasisi ya tff, serikali ilishashindwa kwenye michezo ndio maana timu ya taifa inafungwa kila leo
Kama ni hivo ulivyosema basi hata mapenzi yanaitaji elimu..acha akili za ubuyu,inamana we hauwezi kung'amua mambo mpaka upate elimu??Muone huyu nae, hapa duniani kitu pekee ambacho hakihusiani na elimu(maarifa) ni swala la kufanya mapenzi tu, kwakua hata panzi, mbwa, kuku, Bata wanafanya bila hata kufundishwa.
Soka linahitaji watu wenye weledi na Elimu.
yiop naulomi ngoswe penzi kitovu cha uzembe_f2f tt r t fretted tt free t f2f t ret Ritter r t r f2f fff r f f2f f2f err rtf r r t.r t t tt Ritter tg b