Mchezo wa Simba na Yanga kuchezwa tena, Mashabiki kurudishiwa tiketi zao

Mchezo wa Simba na Yanga kuchezwa tena, Mashabiki kurudishiwa tiketi zao

Uwanja huo huo uliokuwa umeandaliwa. Kwani si hata mashabiki walishaingia uwanjani tokea saa 4 asubuhi. Kama TFF wangekataa ombi la Serikali, hiyo Serikali ilikuwa haina uwezo wa kuzuia mechi isichezwe. Kanuni na taratibu zilikuwa zinawapa nguvu TFF kukataa ombi la Serikali. Tatizo TFF waliamua kwa makusudi kukiuka kanuni na taratibu zilizowekwa.

Ndugu yangu dawa ya jipu ni kulitumbua tu. Hao TFF ni jipu lililoiva na wakulitumbua ni YANGA.
Yanga Sc sasa hivi amepata golden chance ya kurudisha heshima ya mpira Tanzania. Ni kweli kutakuwa na maumivu wakati jipu likitumbuliwa lakini ni bora maumivu ya muda mfupi kuliko kuacha uchafu wa TFF uendelee kuwepo.
Mimi nawashauri Yanga kama watanyimwa points 3 basi wapeleke malalamiko yao FIFA.
Mdau mambo adharani..... Mpira utarudiwa.... TFF na Bodi ya ligi wamepewa jukumu hilo...
Halafu TFF na Yanga watakaa na Waziri husika kumaliza jakamoyo zao...
 
Nilishawaambia humu Hadi HAO FIFA wenyewe wanaendeshwa na serikali za DUNIA.
Wewe mdau kiukweli unaonekana una hamu na ubishi tu.

Unajua Nigeria walifungiwa muda gani kwa serikali yao kuingilia mpira?
 
Mechi inarudiwa vipi wakati sheria inaitaka TFF kuipatia Yanga SC pointi tatu maana walifika uwanjani muda wa mchezo na Simba SC hawakutokea. Yanga SC nitawashangaa wakicheza huu mchezo.
Washauri wakimbie tena.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe umekaririshwa huo ujinga unasemaje serikali isijohusishe na mpira wakati unachezewa kwenye viwanja vyake na ndo inahusika na ulinzi .
Kaiulize Nigeria
 
SERIKALI kuingilia maswala ya soka ni issue tofauti na hii, ht km serikali ingesimamisha ligi mpk mwakan still huko si kuingilia mwaswala ya soka ndio maana ni mara chzche sana utasikia nchi flan imefungiwa na FIFA kwa sababu ya serikali kuingilia maswala ya mpira, serikali nyingi tu zinaingilia mambo ya mashirikisho yao ya mpira lkn inakuwa ngumu kuprove kuwa ni kweli imeingilia so sio isse rahisi ivyo
Haya yote tutayamaliza mbele ya pilato wa FIFA!
 
Ndugu unazifahamu vizuri kanuni na taratibu za kuahirisha mechi au kusogeza muda mbele?
Kabla ya kuahirisha mechi au kusogeza muda mbele ni lazima kuwe na sababu za msingi kufanya hivyo. Je, ni sababu zipi za msingi zilizotolewa na TFF?
Ukifuatilia kanuni hata Simba wanamakosa sababu kwa kufuata kanuni hawakupaswa kukubaliana na TFF. Kama Simba wangeikatalia TFF basi leo tungesema hakuna wa kupewa points 3. Lakini kitendo cha Simba kushirikiana na TFF kuvunja kanuni za soka ndiyo kinawapatia nguvu Yanga kudai points 3 na magoli 3.
Simba ni club msimamiz wa shughul za kila cku za mpra kwa apa tz ni ttf ambae ametunga kanun na sheria pamoja na kuwa iyo sheria ya 24 lakn pia zipo nyngne ambazo zinataka club kufuata kile ambacho kinatakiwa na tff vinginevyo unavunja sheria na kanun ndio maana tunasema kat ya simba na yanga hakuna mwenye kosa wote wamefuata sheria na kanun za tff apo mwenye kosa ni uyo tff ambae amechanganya kanun zake
 
Wewe mdau kiukweli unaonekana una hamu na ubishi tu.

Unajua Nigeria walifungiwa muda gani kwa serikali yao kuingilia mpira?
Kwanza ngoja kwanza,je unajua au unaelewa nn maana ya serikal kuingilia michezo ad kufikia kufungiwa,maana kwa hii sizan kama kuna nchi ingekua na michezo kwamba kila jambo likiusika na serikal bas imeingilia je mara ngap serikal ya tz ilikua inamlpa kocha wa timu ya taifa je tulifungiwa,apa ktk kuingilia nadhan lazma kutakua na mipaka yake maana kutofautsha kabsa serikal na michezo ni ngum
 
Kwanza ngoja kwanza,je unajua au unaelewa nn maana ya serikal kuingilia michezo ad kufikia kufungiwa,maana kwa hii sizan kama kuna nchi ingekua na michezo kwamba kila jambo likiusika na serikal bas imeingilia je mara ngap serikal ya tz ilikua inamlpa kocha wa timu ya taifa je tulifungiwa,apa ktk kuingilia nadhan lazma kutakua na mipaka yake maana kutofautsha kabsa serikal na michezo ni ngum
Kwenye kufanya maamuzi. Mfano ugomvi ukitokea kati ya klabu na shirika la mpira huo ugomvi hautakiwi kutatuliwa mahakamani.
 
Nafkri tff wanakama zombes kichwan.. ikiwa taarifa ipo waz kuwa walipewa taarifa na serikal wasogeze mbele machi
Bila sabab ya msingi kwa Nini machi iongezewe mda..

Haya tukadhani labd serikal wanakuja na majib kwa nini machi isogezwe mbele nao wakaingia kwenye kamba(mtego) hawana sababu..

Sasa naanza kupata shaka kuwa hatuna watu wa mpira kuanzia viongoz wa tff mpka waziri... Cjui wanatufanya wtz mbumbumbu, au hamnazo...

Yaan badala yakuja na sabab ya kwa nini machi ilisogezwa mbele kabla ya kuahilisha wao wanakuja na NIA NJEMA!!!!
hivi sikuhzi soka linaendeshwa kwa nia mbaya? Walao wangesema kulikuwa na tishio la kiusalama.. watu wazima wangeelewa... Leo unakuja kusema NIA JEMA[emoji7][emoji7][emoji848][emoji848]

Ushauri kwa vilabu vya Simba na yanga machi isichezwe Kwanza mpka hyo nia njema ya serikal iwe wazi... Vinginevyo ni ama Simba wapewe point ama yanga...

Hv unafidiaje mda? Nani atalipa ghalama za vilabu ktk maandalozi?? Je kwel tff wanajua wanachokifanya pale ofcn au wanahitaji mkalimani kutafsiri sheria ya mpira????

Ingekuwa kwa wenzetu tunavyoongea nw waziri, naibu na viongozi wote waandamizi wa mpira wasingekuwa ofsn.. maana wanatia aibu haswa...

Labda tu niwakumbushe tff Simba na yanga ndyo vilabu vikongwe afrika na ninadhani ndiyo dabi Kama si ya Kwanza bas hakis kwenye tatu Bora inayofuatiliwa zaid ulimwenguni.. unaachaje kujiuzuru??

Wajipime tu wamelitia doa kubwa soka letu zipo kazi nyingi ila kwao mpra wauache unawenyewe

Mr Bonny
 
Back
Top Bottom