Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Yohana 2:17

Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, 'Wivu wa nyumba yako utanila'.
 
1593051092071.png

hawezi filisika maana ameridhika na maisha yake ya kuvaa shanga mkononi na kujifunika mashuka
km Mall anayo,na uwezo wakununua IST zipatazo 750 mnataka ajionesheje
Wivu tupu mnamuonea
 
Ana mgodi kitambo ana hela mingi sema mbinu iliyotumika ni wachimbaji kutotorosha madini waiuzie serikali hao washapata hela siku mingi tuu na wapo kimya...
Hii kweli mkuu... Ukute kuna bingwa ashawahii pigaa zaidiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom