castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Changamoto za kuwa tajiri africa ....roho mbaya ,chuki,wivu ~mengi...kwani ukimtakia mema utapungukiwa niniWatu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto za kuwa tajiri africa ....roho mbaya ,chuki,wivu ~mengi...kwani ukimtakia mema utapungukiwa niniWatu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Hawezi hangaika na hawa kina Sepenga labda aongeze ndito ingine lainii awe wa kula pension ya mzee maana tayari ana wake wanneivi wema sepetu bado hajaolewa?? Achangamkie fursa Kama alivyochangamkia kwa mtoto wa abdilai akaliwa na kurudi dar.
Eti pesa za kawaida... We unazo?Watu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Hii kweli mkuu... Ukute kuna bingwa ashawahii pigaa zaidiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana mgodi kitambo ana hela mingi sema mbinu iliyotumika ni wachimbaji kutotorosha madini waiuzie serikali hao washapata hela siku mingi tuu na wapo kimya...
Kitambo sana, ameongeza tu utajiri wake.Kumbe yupo kwenye game kitambo!?
Mbona huwaombei mazuri wayahudi watu pekee wa Mungu wa kweli? Na wewe pia upate mibaraka?
Bwana Utam kahtaan
Ndukiiiii
Sasa huyu unayemtaja wewe ndio ashafilisika. Ubaya mmoja wa uwekezaji wa makalio hainaga mtaji kupanda 😀 😀 😀 😀ivi wema sepetu bado hajaolewa?? Achangamkie fursa Kama alivyochangamkia kwa mtoto wa abdilai akaliwa na kurudi dar.
We hata kuandika hujui ...unamuombea mwenzanko afisilike ... kwa taarifa tu ni kwamba 7B si kitu kwa Laizer ... Nyie mnashangaa 7B but Key issue kwnye hili ni Ukubwa wa Jiwe... Laizer ana more than 50B hapo alipoWatu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Wewe pambana mke wako ajifungue salama, wewe mwache na pesa zakeWatu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu