Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Hata yule aliyepiga almasi shinyanga angeenda uza Belgium angepata pesa ndefu zaidi...
Any way waridhike na walichopata

Ova
Shida iliyopa arusha wanunuzi wote wa kihindi wameondoka ndio wangelipa pesa kufuru,wameondoka na bei imeporomoka sana toka gram 1.2m mwaka jana mwezi huu,
Sasa hivi gram ni laki 5 mpka 4 jiwe zuri
 
Kumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..

Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
 
Tunaongea kuhusu bilioni pesa ya madafu au ya dola ya marekani?
 
Shida iliyopa arusha wanunuzi wote wa kihindi wameondoka ndio wangelipa pesa kufuru,wameondoka na bei imeporomoka sana toka gram 1.2m mwaka jana mwezi huu,
Sasa hivi gram ni laki 5 mpka 4 jiwe zuri
Hivi mengi Matunda bado yuko huko mererani

Ova
 
Wale jamaa hawajaja kupinga.



Natania🚢🚢
 
Kumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..

Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
Hiyo sio tanzanite utakua umeona cheap gemstones ziko sehemu nyingi sana
 
Hiyo sio tanzanite utakua umeona cheap gemstones ziko sehemu nyingi sana

Mkuu kwa uelewa wangu sidhani kama itakuwa cheap germstome. Ipo ndani ya eneo letu porini huko kanda ya ziwa.

Nikifika nitakutumia picha kwanza uhakiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…