Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Na kama ameuzia serikali anaweza kubabaishwa sana kulipwa pesa yake. Ila wamasai nao sio watu wa mchezo.mchezoKwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Cheki ulivyo kichwa panzi!!!so unazani Magufuli ndio kaibua mabilionea wapya!! Kama hujui kitu nyamaza huyo unaemsemea Magufuli ndio kamfanya awe bilionea ni tajiri bilionea tokea enzi ya MkapaSiku ya juzi viunga vya mererani kulishuhudiwa maajabu ambayo hayajatokea kwa miaka 15
Baada ya mchimbaji mdogo anayejulikana kwa jina la Laizer kunyan kuibuka na madini ya Tanzanite yenye uzito wa Kg 15
Kwakuwa njia za kihuni za kutoroshea madini nairobi zimethibitiwa ilibidi BOT iingilie kati na kununua madini hayo kwa thamani ya Bilion 7
Hongera Magufuli uliahidi kuzalisha mabilionea ahadi zako zimeanza kutimia
Hongereni pia wana Arusha kwa kuongeza idadi ya mabilionea
KweliHilo nlishasikia shida yake ni upatikanaji,unaanza kazi ukiwa kijana mpka unazeeka hujapata kitu.....tanzanite inapatikana kwa wingi ilimradi tu mmiliki awe ni mpambanaji na mgodi uwe wa kisasa
Watu Wanajua bilionea uwe unavaa macheniTatizo watu hawamjui na ukimuangalia jinsi alivyo wanamuona limbukeni wakati ni bilionea miaka mingi tu na asset za kutosha,ile mall tu anayoimalizia sakina pale inamdhihirishia kua ni bilionea.
Mm ningelipa kodi ya serikali ingeenda a kuliuzaa mwenyewe njee Sema riziki hwwez juaIlikua 1.3m kwa top colour sasa hivi ni laki 4 mpka laki 5 kwa top colour
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahi kwani nafasi ni chacheKumbe ndio Tanzanite ilivyo. Kijijini kwetu ndani ndani huko nilishawahi ona mawe ya namna hii mahali fulani..
Na hadi hivyi sasa sijaona mtu akijihusisha kuchimba haya mawe, Mungu akinijalia mwezi ujao nitafika kuyahakiki...
Ndo maana yakeHahahaa hapa ndio kwenye msingi wa habari nzima, kutaka kuleta mantiki kuwa ukuta wa mirerani umekua wa faid, kwahio huo ukuta uko hadi chini kabisa huku alikokuta huo mzigo?
Labda wengine. Zombe na group lake...mhhh!
Hamna mkuuWanakulinda.
[emoji16][emoji16][emoji16]unaongea kama umekunywa shimwa ginNikiangalia structure ya hili jiwe, inawezekana alichoonesha ni sehem tu ya alichopata. Hili jiwe ni kubwa sana achunguzwe ameficha zaid ya nusu yake.
Hamna mkuu
Ndio watanzania walivyoWatu Wanajua bilionea uwe unavaa macheni
Au ujitangaze kwenye mediaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Ukitaja kijiji tuu watu watakwambia ni madini ya aina gani. Kuna watu wanajua kunusa kinyama. Uliyoiona sio tanzanite jombaa. Ingekuwa ni yenyewe usingekuwa unakaa unatype hapa wakati unajua ukienda sehemu fulani unakuwa bilionea.
Hakuna mchimbaji apo uyo ni TISS
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8.
Mchimbaji huyo amepata mawe hayo mawili ambapo moja lina kilo 9.2 ambalo thamani yake ni shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.
“Na utofauti wake ni kwamba mawe ya uzito huo hayajawahi kupatikana kwenye machimbo ya Tanzanite tangu machimbo yaanze na yamepatikana ndani ya ukuta wa Mirereni kwahiyo hii ni rekodi mpya ya kupata mawe yenye uzito huo,” amesema Prof. Msanjila.
Profesa Msanjila amesema kuwa sekta ya madini inauwezo wa kumfanya mtu kuwa bilionea kwa haraka, ameongeza kuwa kunahitaji kuwa uwekezaji wa dhati katika sekta hiyo.
Serikali imenunua mawe hayo kutoka kwa mchimbaji huyo na yatawekwa katika makumbusho ya taifa