Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Hizi juhudi za serikali ya awamu ya tano kuboresha mazingira kwa wachimbaji wadogo wadogo zinaonesha mafanikio Sasa sector ya madini inakua kwa Kasi na kuongeza Pato la taifa Viva Magufulu 2020-2025
 

Tafakari kabla ya kuandika. Huenda iko siku mkeo atajifungua utamshukuru mtu badala ya Mungu
 
Kule pemba kuna mmoja nasikia amekamatwa na karafuu ya magendo gunia 30
Sijui kweli?
 
Kwa hiyo dhamani ni sawa mawe hayaangaliwi ukubwa tu Bali na quality ndo maana bei hutofautiana
Kwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
 
Huko makumbusho ya taifa hiyo tanzanite inaenda kuyeyuka na kuwekwa fake.

Si tuliambiwa BOT itaanzisha utaratibu wa kuhifadhi madini na vito,why makumbusho ya taifa?

BTW:Kuna uwezekano tanzanite kubwa zaidi ya hiyo ilishawahi kupatikana sema jinsi hii biashara ilivyokuwa kabla ya 2015 ilikuwa siyo rahisi hata kujua nani kapata nini.
 
Hahahaa hapa ndio kwenye msingi wa habari nzima, kutaka kuleta mantiki kuwa ukuta wa mirerani umekua wa faid, kwahio huo ukuta uko hadi chini kabisa huku alikokuta huo mzigo?
Nadhani anachota kuelezea Prof. Msanjila ni kwamba kama huo ukuta usingekuwepo, uwezekano wa hayo mawe kupitishwa na kuuzwa kinyamela na kwa magendo ulikuwa mkubwa sana na hivyo kuikosesha nchi kodi husika na hivi sasa sifa kuwa mawe makubwa kama hayo yanapatikana MERERANI NCHINI TANZANIA SIYO INDIA AU AFRIKA YA KUSINI kama ilivyokuwa hapo nyuma.
 
Ukiliangalia vizuri hili jiwe utaona limekatwa nasio kwa maana ya uhujumu bali ni security ya biashara iliofanyika jamaa katoa mzigo Zaid ya huu kwa ninavyoona
 
Mungu ameshainua mtu wake.Mungu ni mwema
Sasa nashauri Serikali kupitia Wizara ya Madini na Kituo cha Uwekezaji wamsaidie huyu Bilionea mpya kuiwekeza hiyo bilioni saba ili izae Zaidi na izalishe ajira kwa wana Mererani na Simanjiro kwa faida ya Tanzania yetu au siyo wana JF?
 
Kitakachomtafuna huyo bilionea ni umasikini wa akili!

Ni kishauri kitukimoja,kama haumjui mtu..funga doma achakuropoka..huyo ni tajiri muda mrefu sana..hapa mererani anashimo analohudumia zaidi ya miaka 10,na anawahudumia wafanyakazi 400,usilete akili zako za madaftari then unakuja kujaji watu wengine
 
Ila huyo laizer ingawa kanizidi hela, mbona amekaa kishamba sana, hela inafuata watu washamba washamba..dooh
 
Ni kishauri kitukimoja,kama haumjui mtu..funga doma achakuropoka..huyo ni tajiri muda mrefu sana..hapa mererani anashimo analohudumia zaidi ya miaka 10,na anawahudumia wafanyakazi 400,usilete akili zako za madaftari then unakuja kujaji watu wengine
mzee una uzoefu hapo mererani.nataka nije kutalii
 
Sasa nashauri Serikali kupitia Wizara ya Madini na Kituo cha Uwekezaji wamsaidie huyu Bilionea mpya kuiwekeza hiyo bilioni saba ili izae Zaidi na izalishe ajira kwa wana Mererani na Simanjiro kwa faida ya Tanzania yetu au siyo wana JF?
hahaaa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…