SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Wenye plans.. Wengine hakuna kitu. Bwashee wangu alipata pesa nyingi akanunua magari na wanawake. Leo ananiomba vocha
Huyo hakupata pesa alipata za kula raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye plans.. Wengine hakuna kitu. Bwashee wangu alipata pesa nyingi akanunua magari na wanawake. Leo ananiomba vocha
Mkuu tunapokuja kwenye issue ya soko serikali hii imemtengenezea mchimbaji wa madini mazingira mazuri na yenye uhakika wa kupata kile anachostahili kulipwa tofauti na ujanja ujanja wa hapo awali ambapo hata serikali yetu ilipoteza Kodi nyingi iliyopaswa kukusanywa kwa ajili ya kutuletea maendeleo wananchi wake. Nisingependa kuzungumza process ya uchimbaji sababu ziko wazi kuwa inahusisha risk kubwa na wawekezaji wengi wa taasisi za fedha hawawezi kuwa tayari kumkopesha mchimbaji kulingana na risk izo kwaio kupata madini kwa wachimbaji Hawa wadogo wadogo huwa ni bahati tu Kama ivi Leo tunamzungumzia billionea laizer ambae amebahatika Kati ya wengi waliopo uko melelani.
Watu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Kwanza ni uongo kwamba laizer kwa miaka 17 iliyopita shimo lake halijatema mawe.Mkuu umeandika nini hapa, jamaa alipost kuhusu uyo Mzee week hulo nyuma kabla ajapata jiwe
Muda mwengine MTU unaweza andika ujinga mpaka ukahisi unajibaka ndio hiki.
No vyema ukasema alianxa lini na munafahamiana vipi weqe na uyo Laizer na kwanini usingeandika kuhusu yeye before mpaka Tz imemjua ndio unakosoakosoa watu Uzi mzima.We hujui umeandika nin hapa huyo dogo Jeff atawadanganya sana,huo mgodi toka umeanza kazi hata miaka 15 haijafika ss hebu muulize hio miaka 17 ameitoa wap?
Wewe ni mzee wa ku-discuss matukio baada ya kutokea.Kwanza ni uongo kwamba laizer kwa miaka 17 iliyopita shimo lake halijatema mawe.
Pili unasema huyo jamaa kaandika wiki iliyopita wkt Mererani habari ya jamaa kutoa hayo mawe iko muda mrefu tu.
So kwa hizo points 2 hapo juu ni rasmi sasa nakushauri ukajibake sasa.
Muda wa kukujibu huo upuuzi bora nikapige puli tu.Wewe ni mzee wa ku-discuss matukio baada ya kutokea.
Hilo suala la habari kuenea kabla wote tunalijua na wewe umelijua baada ya kutangazwa kwamba habari ilifahamika before usijipe kiki.
Eleza ulimjuaje jamaa kabla ya tukio mbali na hapo wewe ni wa muongelea matukio na trends tu kama wale wa Insta nk.
why? 9 billions!...9,000,000,000Watu wanamshobokea pesa zake za kawaida na atafirisika tu
Hivi ni dingi au kijana yule?,,Yule dingi wa kimaasai anaonekana ana mawe..alikuwa anajenga shopping mall kabla hata ya kutusua haya mawe
Ongeza kidogo atumie 200,000 kwa siku,,sawa na miaka zaidi ya 100,why? 9 billions!...9,000,000,000
9,000,000,000/100,000 a day= 90,000 siku hizo kama akitumia laki kila siku.
Sas siku 90,000 ni mika mingapi? gawa kwa 365= 246 yrs! atakuwa ameshakufa zamani sana kama sijakosea hesabu zangu.
Hivyo kufilisika hapana!
MmmmmhKwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Ila kilo 9.3 daaaaaaaaahKitakachomtafuna huyo bilionea ni umasikini wa akili!
Wewe papuchi utazipata sana zenye kilo kubwa kubwa ila siyo Tanzanite!Ila kilo 9.3 daaaaaaaaah
Mkuu, upo sawa kabsa! jana nlsema hapa jf kuwa hako kahela alopata laizer wala hakamstui, huyu jamaa ni meli atar anayohela mingi aseee, kama ni hizo B amekuwa nazo toka miaka hyo ya akina Msuya...... kwa mazmba wa pale Mererani ukimtoa Abillah yeye ndo anafuata, boma yake iko leisinyai way to kambi ya chokaa, kuna kpnd alipga hela kanunua LX 11 mpaka mpsh wake mgodn anatumia moja kwa aajili ya kufuatia viungo na vitu vidogo vidogo, make unga na mchele huwa vnapelekwa na canter.Yule dingi wa kimaasai anaonekana ana mawe..alikuwa anajenga shopping mall kabla hata ya kutusua haya mawe