Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

China inaongoza Kwa kutengeneza gari za umeme duniani na kampuni ya BYD ya china imeipita Tesla Kwa kuuza gari za umeme.

BYD ana Faida ya kuwa mtengenezaji WA betri vilevile, mwaka huu china pia imeipita Japan Kwa uzalishaji na uuzaji WA Nagari sababu kubwa ni kukuwa Kwa uhitaji WA gari za umeme.

Mbali na BYD kuna kampuni nyingi za gari za umeme za bei nafuu zipo nyingi mpaka Alibaba zimejaa Kule.

Kuna hii gari inaitwa Wuling Hongguang Mini EV
Inauzwa USD 4500 sawa na milioni 11.2
1280px-%E4%BA%94%E8%8F%B1%E5%AE%8F%E5%85%89mini_EV_9735_1.jpg


Alibaba kuna mpaka vya Dola 800 na zingine za Dola 3500
Cheap Electric Car China Trade,Buy China Direct From Cheap Electric Car Factories at Alibaba.com

Masudi kipanya alisema gari yake ya umeme ikiingia sokoni rasmi itauzwa Kwa milioni Tisa. Tuombe afanikiwe.

China hajazubaa na analichangamkia soko la ev Kwa msaada pia WA ruzuku ya serikali
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Huko tuendako tutakuja kuwaomba wachina wawape mimba wake zetu...

Sisi miafrika sijui nani alituloga wallah..
 
Acha dharau kijana... Wabunifu ni wengi sana shida serikali yetu ndio inakwamisha, wazee wamekaa maofisini ukiwapelekea idea, wana kwambia haiwezekani... Nenda YouTube katafute kipindi cha power breakfast cha clouds FM juzi kati walimuhoji dogo anayeitwa Samson anatengeneza petrol kwa kutumia takataka za plastiki, na alivyoenda serikalini kuomba mkopo wa vijana wa milioni 50 wakamwambia nenda kalime, achana na hii. Masoud Kipanya naona ndio ameamua kumshika dogo mkono
Sio dharau mkuu, mimi naelewa vikwazo tunavyowekeana kwenye suala zima la ubunifu.

Unaweza kushangaa hata huyo dogo akitengeneza hiyo petroli akanyimwa vibali vya kuiingiza sokoni ilimradi tu watanzania tuendelee kuteseka
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Yapo kitambo sana tangu 2005 sasa hivi wako kwenye solar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Anasubiria aje kuiga
 
Unawabeza wachina eti wanasubiri mpaka wapewe teknolojia? Katika dunia ya sasa amboapo wanaweza kununua gari moja tu na kulisasambua na kulisoma kila kitu ndo wasubiri kupewa teknolojia? Hawajaamua tu kwa sababu ambazo wanaona wao. Pia bado soko la afrika halijaonesha kuchangamkia magari ya umeme
Sio hawajaamua , wanatengeneza
Mwaka 2022 China ndio nchi iliyoongoza kuuza Magari duniani ikizipiku Germany na Japan
Na hiyo imetokana na kutengeneza Kwa wingi Magari ya umeme
Huku kwetu hayapo sababu ya bei,Sisi ni second hand vehicles ambazo TRA wanazipiga kodi Zaidi ya watengenezaji
 
Back
Top Bottom