Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Sisi ni kupanga matokea ya uchaguzi,kuuza bandari mbuga za wanyama,kukwapua pesa za Umma na ushenzi ushenzi kibao.maada
Maada ya Leo ni wachina dhidi ya wazungu..sisi wabongo yetu ya kuuza bandari tujadil siku nyingine
unaonesha ushamba wako..hujui hata Dunia inatokea wap inaelekea wap..hao wachina hakuna technology yeyote waliwai buni zaidi ya kusubir zilizobuniwa na wazungu na wao kukopy...Bado unaishi zama za mawe
Ha ha ha asa hvi tupo tunauza bonde la mto msimbazi Kwa world bank waliendeleze,,..wakazi WA pale tumewalipa 27000..wahame naona wameandamana 😂😂😂😂Sisi ni kupanga matokea ya uchaguzi,kuuza bandari mbuga za wanyama,kukwapua pesa za Umma na ushenzi ushenzi kibao.
Tuachane na mchina sisi tunaweza kufanya nini?Ha ha ha asa hvi tupo tunauza bonde la mto msimbazi Kwa world bank waliendeleze,,..wakazi WA pale tumewalipa 27000..wahame naona wameandamana 😂😂😂😂
Hii sio ev pure, ni PHEV au waweza ita plugin hybrid, ina engine pia
L8 na L7 ndio PHEV iyo L9Hii sio ev pure, ni PHEV au waweza ita plugin hybrid, ina engine pia
Ngoja lakini nirudi chimbo. Thanks.Hii sio ev pure, ni PHEV au waweza ita plugin hybrid, ina engine pia
Zote ni phev mzee karibu chimboL8 na L7 ndio PHEV iyo L9
ACHA BASI MADHARAU KAMA HUNA DATA; Labda nikumegee kidogo;Anasubiri apewe technology na wazungu.. wamarekani Kwa sasa hawatoi technology yao ovyo.. mchina Hana anachojua Zaid ya kukopy
Na betri ndio gari yenyewe maana hilo ndio linakuwa na bei ghali zaidiLakini mkuu kwani gari la umeme lina nini cha ajabu, si betri tu na mota?
usichoelewa ni kwamba hvyo viwanda hapo china vinamilikiwa na wamarekani kama wawekezaji na Siri ya hyo technology wanayo wao..china wanatumika kama cheap labour na source ya malighafi kwenye hvo viwanda...wao kama wao wachina hawana hyo technology ya magari hayo...bado ipo chini ya wamarekani mpaka watapoamua kuweka wazi..ACHA BASI MADHARAU KAMA HUNA DATA; Labda nikumegee kidogo;
"China accounted for nearly 60% of all new electric car registrations globally in 2022. The share of electric cars in total domestic car sales reached 29% in China in 2022, up from 16% in 2021, thereby achieving the 2025 national target of a 20% sales share for so-called new energy vehicles"
Swali lako la mwisho ni Yes, under Standard za Tesla, almost kila kitu sasa hivi ni made from China na ndio maana kuna ambavyo vinafuta strictly standards for Eurepo and America na Cheap made fake takataka made for MEA. Unaweza ukarejea quality ya pikipiki za made in China compare na Honda na Yamaha. Pikipiki saivi ikimaliza miaka mitatu inakua ishakua mkangafu wakati hizi za japan zinagonga 15+ bila shida yoyote.Hakuna anaehofia QUALITY bana ni vile SOKO LA AFRICA halina faida kwao usisikilize propaganda
CHINA wako vizuri
hivi unajua TESLA battery za gari zake zinatengezwa na kampuni ya KICHINA
Swali lako la mwisho ni Yes, under Standard za Tesla, almost kila kitu sasa hivi ni made from China na ndio maana kuna ambavyo vinafuta strictly standards for Eurepo and America na Cheap made fake takataka made for MEA. Unaweza ukarejea quality ya pikipiki za made in China compare na Honda na Yamaha. Pikipiki saivi ikimaliza miaka mitatu inakua ishakua mkangafu wakati hizi za japan zinagonga 15+ bila shida yoyote.
Tesla battery ni za Panasonic ya mjapan. Labda kama uzalishaji zaidi unafanywa na Wachina ila Panasonic its Originally Japanese.Hakuna anaehofia QUALITY bana ni vile SOKO LA AFRICA halina faida kwao usisikilize propaganda
CHINA wako vizuri
hivi unajua TESLA battery za gari zake zinatengezwa na kampuni ya KICHINA