Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

Mchina kazubaa wapi kwanini hatengenezi magari ya umeme?

Mbona mchina anatengeneza magari ya umeme toka kitambo....


Kuna mtangazaji wa Redio ya Clouds FM anaitwa Kennedy the Remedy, alienda China akawa anatuonesha maisha ya China, wana gari za umeme tena za kisasa, lakini kwa Mujibu wa Kennedy the Remedy, gari zao zinauzwa moja kwa moja Ulaya, China haina soko la moja kwa moja la Magari Afrika, na kama unataka gari lao basi itabidi uende Ulaya ukanunue kisha ulete Afrika. Na kipindi anaongea alikuwa kwenye gari moja la kichina ambalo ni la umeme na lina mfumo wa AI (Artificial Intelligence), ambapo pia linaweza kujiendesha... Lakini linatumia lugha ya Kichina na kuna sauti ya Robot ambae ni msaidizi wako wakati wa kuwasha na kuendesha gari lakini unazungumzia nae kwa kichina tu, vile vile kuna mchina akasema kama unataka lenye mfumo wa lugha ya kiingereza yapo, lakini upelekwa moja kwa moja kwenye soko la ulaya.
Mimi natamani watengeneze gari ya umeme ya kawaida tuu, isiwe high tech kiasi hicho. Iwe tu gari ambayo inaweza kumtoa mtu point A kwenda point B na iwe na zile standard features za kawaida kwenye gari kama AC, mziki nk hiyo inatosha sanaa. Ila iuzwe kwa bei rafiki
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Yapo mengi sana Tatizo watu wanahofia quality na ndio competitor mkubwa wa TESLA.
 
Kwann kama taifa tusinifunze kuzalisha aina mbadala wa mafuta ya kuendeshea gari pasipo kutegemea Muarabu hali malighafi tunazo tele zinaoza tu
 
Mimi natamani watengeneze gari ya umeme ya kawaida tuu, isiwe high tech kiasi hicho. Iwe tu gari ambayo inaweza kumtoa mtu point A kwenda point B na iwe na zile standard features za kawaida kwenye gari kama AC, mziki nk hiyo inatosha sanaa. Ila iuzwe kwa bei rafiki
Yes hayo ni Maoni yako.

Lakini wao soko lao halikulengi wewe mwenye pesa kidogo... ukitaka gari la hivyo nenda kwa Masoud Kipanya, anatengeneza gari za hivyo. Muunge mtanzania mwenzetu.
 
Kwann kama taifa tusinifunze kuzalisha aina mbadala wa mafuta ya kuendeshea gari pasipo kutegemea Muarabu hali malighafi tunazo tele zinaoza tu
Kuna dogo anaitwa Samson, juzi kati alikuwa anahojiwa na Power Breakfast ya clouds FM, dogo anaweza kutengeneza petrol, dizeli, kerosini na Jet fuel kwa kutumia taka taka za plastiki. Lakini alienda kuomba mkopo wa zile milioni 50 za fungu la vijana, akaambiwa na afisa moja kwenye ofisi moja ya serikali hapo Dodoma kubwa Ubunifu wako unakupotezea muda, bora ufanye kilimo hatuwezi kukupa pesa. Video hipo YouTube, dogo anaonesha hatua mpaka petrol inapatikana kwa kutumia vifaa vya kuunga unga vya kuokota.
 
Kuna dogo anaitwa Samson, juzi kati alikuwa anahojiwa na Power Breakfast ya clouds FM, dogo anaweza kutengeneza petrol, dizeli, kerosini na Jet fuel kwa kutumia taka taka za plastiki. Lakini alienda kuomba mkopo wa zile milioni 50 za fungu la vijana, akaambiwa na afisa moja kwenye ofisi moja ya serikali hapo Dodoma kubwa Ubunifu wako unakupotezea muda, bora ufanye kilimo hatuwezi kukupa pesa. Video hipo YouTube, dogo anaonesha hatua mpaka petrol inapatikana kwa kutumia vifaa vya kuunga unga vya kuokota.
Kuna vitu vinatia kinyaa sana 😕
 
Kama tumeshindwa kutengeneza toothpick na njiti za viberiti tutaweza kutengeneza mafuta?😆
Acha dharau kijana... Wabunifu ni wengi sana shida serikali yetu ndio inakwamisha, wazee wamekaa maofisini ukiwapelekea idea, wana kwambia haiwezekani... Nenda YouTube katafute kipindi cha power breakfast cha clouds FM juzi kati walimuhoji dogo anayeitwa Samson anatengeneza petrol kwa kutumia takataka za plastiki, na alivyoenda serikalini kuomba mkopo wa vijana wa milioni 50 wakamwambia nenda kalime, achana na hii. Masoud Kipanya naona ndio ameamua kumshika dogo mkono
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Aisee inaelekea hufuatilii mambo. Mchina sasa hivi ndiye anayeongoza kuuza magari ya umeme. Unaifahamu kampuni inaitwa BYD? Sasa hivi inaonekana ni tishio kubwa kwa Tesla maana imeuza magari mengi Ulaya.
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
Umelala.

Nani anaetengeneza magari ya umeme kwa wingi zaidi ya China duniani?

Si unaagiza tu kwa mtandao.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kulingana na hali ya bei za mafuta kuendelea kupanda siku hadi siku, naiona fursa kubwa kwa soko la magari yanayotumia nishati mbadala kama vile umeme nk.

Mimi binafsi ntakua mteja wa kwanza kwanza kabisa pindi magari hayo yakianza kupatikana maana nimeshachoka na hizi bei pasua kichwa za mafuta na maringo ya wenye sheli.

Nawashauri wakombozi wetu Wachina waingie chimbo haraka sana wazalishe magari madogo mazuri yanayotumia umeme na watapiga hela ndefu maana yatanunuliwa kama njugu!
weka gesi mdau
 
mchawi kwenye EV ni Lithium , ambayo demand yake ni kubwa kuliko supply
Kwakweli ni noma
FB_IMG_1693920580434.jpg
 
Aisee inaelekea hufuatilii mambo. Mchina sasa hivi ndiye anayeongoza kuuza magari ya umeme. Unaifahamu kampuni inaitwa BYD? Sasa hivi inaonekana ni tishio kubwa kwa Tesla maana imeuza magari mengi Ulaya.
Vipi bei zao no rafiki?
 
Back
Top Bottom