Mchina kwa wizi kashindikana katoa F 35 ya US kama ilivyo kwa jina la J 35

Mchina kwa wizi kashindikana katoa F 35 ya US kama ilivyo kwa jina la J 35

Wachina wanajulikana kwa kuloby na kuiba technology za nchi hali ya juu za nyingine na kuziendeleza na kutengeneza bidhaa za bei rahisi.

Manyamela hao wametoa fighter yao chapa J35 ila kila kitu wamekaa fighter za Marekani za F 35.. Mchina atakuja ziuza bei rahisi kila mtu apate

China has officially unveiled its 5th-generation stealth fighter, the J-35A, at the Zhuhai Air Show.

Lol, they copy everything.

View attachment 3144290
View attachment 3144292
Wizi kawaida si ndio maana hata US alikuwa anawinda ndege za russia hadi kuzibeba zikianguka. Hakuishia hapo submarine ya russia iliyozama akaandaa mission kuwa anafanya ocean exploration kumbe anataka kuibeba kutoka chini
 
Ishi sio ku copy ni kuiba Tech ulizoumiza kichwa wewe yeye anapita nayo
Concepts na capabilities wamekuwa wakitoa test beds na prototypes kwa ajili ya hiyo ndege na lengo hasa ni watoe variant ya kutua kwenye aircraft carriers zao. Carriers zenyewe wanazo na bado wanaunda leo uje kudai wamekopi uko ni kutukana dedication ya engineers wa Kichina.

Watu wamewekeza mabilioni ya dola, wana wanasayansi maelfu, wana facilities za kutosha, wana vyuo vinafanya research hawalali, wana aerospace departments na kampuni kama Shenyang na Chengdu wote hao unaona hamna kitu bali wameiba.

Ina maana Waturuki wana akili na resources kuliko Wachina?
 
Wachina wanajulikana kwa kuloby na kuiba technology za nchi hali ya juu za nyingine na kuziendeleza na kutengeneza bidhaa za bei rahisi.

Manyamela hao wametoa fighter yao chapa J35 ila kila kitu wamekaa fighter za Marekani za F 35.. Mchina atakuja ziuza bei rahisi kila mtu apate

China has officially unveiled its 5th-generation stealth fighter, the J-35A, at the Zhuhai Air Show.

Lol, they copy everything.

View attachment 3144290
View attachment 3144292
Bora ata hao wanaweza copy and paste. Sie wabongo hiyo ya copy and paste inatushinda tulivyokuwa maboya
 
Basic concepts za stealth fighter ni zilezile. Aerodynamic shape lazima ifafane hakuna muujiza zaidi ya huo, kama inaundwa very high flying stealth bomber lazima itafanana kidogo na B-2, kama inaundwa fighter jet lazima ifananie kidogo na F-35 au F-22.

Uturuki wanadevelop Kaan tiyari imefanya test flight nayo utasema wamekopi kwa MarekaniView attachment 3144305
South Korea wana Boramae imekuwa ordered tiyari, nayo utasema wamekopi kwa Marekani. Ingawa hii wamepewa some tech transferView attachment 3144307

Uingereza na Japan ikijiunga watakuja na Tempest concept yake ni hiiView attachment 3144304

Mtu aunde sedan useme amekopi Toyota Mark X, sasa ulitaka sedan iwe kama meza au ifanane vipi.
Hizi F-35 zimeua kabisa soko la Rafale ya France huko Ulaya magharibi , wateja wa Rafale kwa Sasa ni India, Ugiriki,Serbia na baadhi ya nchi za kiarabu.


Nchi za ulaya(Germany, France Spain) walijipanga Sana kuunda 6th gen fighters zao ila sidhani kama Uncle Sam ataruhusu hilo kirahisi bila kuwawekea vizingiti.

 
Hizi F-35 zimeua kabisa soko la Rafale ya France huko Ulaya magharibi , wateja wa Rafale kwa Sasa ni India, Ugiriki,Serbia na baadhi ya nchi za kiarabu.


Nchi za ulaya(Germany, France Spain) walijipanga Sana kuunda 6th gen fighters zao ila sidhani kama Uncle Sam ataruhusu hilo kirahisi bila kuwawekea vizingiti.

Ndio ujinga wa Marekani anafigisu sana kwenye biashara hata Abram battle tank zake alivyokuwa anasua sua kuzipeleka Ukraine kwa kuhofia soko lake wakati huo HIMARS anailinda vibaya isiingie mikononi mwake Russia ikiharibika inapanda ndege karakana US.
 
Hizi F-35 zimeua kabisa soko la Rafale ya France huko Ulaya magharibi , wateja wa Rafale kwa Sasa ni India, Ugiriki,Serbia na baadhi ya nchi za kiarabu.


Nchi za ulaya(Germany, France Spain) walijipanga Sana kuunda 6th gen fighters zao ila sidhani kama Uncle Sam ataruhusu hilo kirahisi bila kuwawekea vizingiti.
Mpaka sasa Rafale ni successful jet maana Dassault hawakuiunda wakiwa na mategemeo sana na foreign operators. Rafale ilizaliwa kutokana na ubishi wa Eurofighter Typhoon ambapo wengine wote kwenye consortium hawakuwa na mpango na ndege inayotua kwenye aircraft carrier ila France ilisisitiza. Na kupishana kwingine ikabidi France ijitoe iwaache Spain, UK, Italy na Germany.

Kinachoifanya Rafale isiuze sana ni bei yake, Ufaransa ilikuwa peke yake hivyo production cost per unit ni kubwa. Ila kinachoifanya Rafale iuze ni kwamba haina usumbufu mwingi wa kidiplomasia hapo unaongea na Ufaransa tu akikubali unapewa ndege. Uzuri inajitosheleza kwenye weapon systems kama MICA missiles.

Kwahiyo sikubali kwamba F-35 inaua soko la Rafale sababu hazina role moja wala sio class moja. Na wala Marekani hana uwezo wa kuzuia consortium ya Ulaya kuunda 6th gen. aicraft.
 
Wachina wanajulikana kwa kuloby na kuiba technology za nchi nyingine za hali ya juu na kuziendeleza na kutengeneza bidhaa za bei rahisi.

Manyamela hao wametoa fighter yao chapa J 35 ila kila kitu wamekopi fighter za Marekani za F 35.. Mchina atakuja ziuza bei rahisi kila mtu apate

China has officially unveiled its 5th-generation stealth fighter, the J-35A, at the Zhuhai Air Show.

Lol, they copy everything.

View attachment 3144290
View attachment 3144292
Mchina anatengeneza hadi Iphone ila kwa jina lingine
 
Back
Top Bottom