Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Bora iwe hivyo,yeye si anajidai kumwandama mchina ili amkwamishe.Alafu bei kitonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora iwe hivyo,yeye si anajidai kumwandama mchina ili amkwamishe.Alafu bei kitonga
Hahahaa.....they never copy tangible thingsWabongo wamekopy u~piddy
Kama zinavyoanguka hizo zinazoitwa og maana hizo hata kunguru akizigusa tu zipo chini mwaka huu tu kama sijakosea ndio sijasikia hizo toys kuanguka tena bila sababuHiyo copy ni TECNO Vs IPHONE...baada ya mwezi zinaanza kuzima ghafla na kudondoka
Naunga mkono hoja marekani kwenye ndege alopoteana ni hili Kopo marekani mpaka sasa kacheza sanaa mnooo kwenye f22 yule mnyama ila hizi nyengine hamna jambo f16 pale Ukraine kama hazikupelekwaSioni cha ajabu hapo maana kuna ndege nyingi zenye mfanano na hiyo J 35. Kuna Su- 57 ya urusi, KF-21 ya Korea kusini.
Ila tukiongelea quality hiyo F-35 ya China ni bora kuliko hiyo ya Marekani kwa wazee wa military aviation mtanielewa
But they are excelling tremendously well.Hahahaa.....they never copy tangible things
Hazijafanya maajabu yoyote zaidi ya promo tuNaunga mkono hoja marekani kwenye ndege alopoteana ni hili Kopo marekani mpaka sasa kacheza sanaa mnooo kwenye f22 yule mnyama ila hizi nyengine hamna jambo f16 pale Ukraine kama hazikupelekwa
Zinaanguka zenyewe zile heheheeeHazijafanya maajabu yoyote zaidi ya promo tu
Sasa hii copy and paste mm nimefundishwa pre form one ndo useme humu jf hawaelewi embu kua na adabu na wanaukumbihahah sizani kama wanaelewa
Sana tu, mla nguruwe anatumia akili huku mnywa al kasus, urojo na tende yeye anatou pesa tu na kununua vifaa vya vita kuua nduguze huku akimsifu Mwenyezi Mungu.Ulaji wa Nguruwe na misimamo thabiti inachangamsha akili.
Hamna kitu pale, wakianza kula nguruwe ndipo watapata akili timamuIran ana Aircraft carrier ngapi na anatengeneza ndege gani ya kivita ? naomba jibu lisilo na mhemko.
Kwa nini Iran mkuu, unalinganisha na nani!?..kwa nini isiwe tanzania!?Iran ana Aircraft carrier ngapi na anatengeneza ndege gani ya kivita ? naomba jibu lisilo na mhemko.
West wakiamua kupeomote kitu chao utafikiri ni mailka ..ukija kwenye outcome ndo utashangaa sasaHazijafanya maajabu yoyote zaidi ya promo tu