Nimeamini wewe ni bonge mshamba tena huwenda simu huzijui.
Leading phones kiubora na kimauzo
1)Samsung
2)Iphone
3)Oppo
4)Xiaomi
5)Vivo.
Kwa akili zako kama firigisi hiyo OPPO imekaa nafasi ya tatu kimazabe mazabe!??
Embu nenda katizame ufanisi wake kuanzia software yake ikiwemo ufanisi wake katika internet na features zake zote halafu ndio ujue kwanini ni namba 3 ulimwenguni.
Usikute naongea na MSHAMBA hapa hakuna analojua.
Tafuta toleo la OPPO RENO .
Ninyi ndio ambao mnajua simu ni Iphone tu,pole yako.