Wewe copy tu tatizo liko ndani ya cockpit.....hapo ndio kwenye balaa...........hapo hata wafanyaje hawawezi kuipata hiyo teknolojia...............hili lichina jinga sana lili wahi hadi kukopi evoq range rover...........wakafunguliwa kesi nzito wenyewe walisanda wakasema walijalibisha tu lengo sio kutengeneza kwa ajiri ya biashara