Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Ukimnyofoa kucha haibadilishi kitu chochote kwamba huyo aliyechorwa ni mtoto anaongozwa kila kitu na KiweteSymbolic ni dharau.
Mama Samia ni amiri jeshi wa Tanzania.
Halafu wewe umchore kama katoto kanachochezea maji kwenye beseni; huku kabaimba ‘baba x 2’ yaani umemdharau raisi wetu.
Kwa kweli hapana, nyofoa kuja moja.
Kama awezi tukana wazazi wake, basi asitutukanie ‘Amiri Jeshi’ wetu dogo haba adabu.
Sio kila kitu lazima tuige kutoka magharibi; lazima tutunze desturi zetu.
Mh. SSH sio raisi tu watanzania, bali ni mzazi na bibi; kwa mila zetu atutukani wazazi kwa namna jamaa alivyowachora.
Nyofoa kucha, shenz type.
Yaani katuni za Kipanya ni kazi kunielewa wakati alikuwa anamchora Magufuli waziwazi kabisa na hakuna alichofanywa,sema hii ya Kikwete kuendesha bibi ni ukweli kwa hiyo inaumaLet me do this for my bebe..[emoji3526]
Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.
Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.
Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).
Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
Nimekuelewa my dear explanation yako Iko so clear Yani mie niliona tu huyo cartoonist ni mjinga na ana mu undermine Raisi mbona magufuli akiwa Raisi hawakusema anaongozwa na mwingine why Mama, na I wonder watu wenye akili potofu wanao mdharau Rais na kumwingiza kikwete kitu ambacho sio fair kabisa, waache discrimination bana being a female president haimaanishi yeye hana roadmap yake ya kuongoza yatakiwa kuheshimiana wala. Ingawa mie niliona watu wenye mawazo finyu ka huyo ni wakuachwa tu na ujinga waoLet me do this for my bebe..[emoji3526]
Ni kweli, Katiba ya JMT imebainisha haki ya kutoa maoni. Lakini hakuna haki isiyo na mipaka. In other words, yaani siyo tu kwasababu Katiba imekuruhusu kutoa maoni yako ndiyo ujiachieee mpaka uwajeruhi wengine, lazima uwe na kiasi kwani haki yako inapoishia ndiyo haki ya mwenzako inapoanzia.
Sasa ikumbukwe kwamba Urais ni Taasisi. Na kila Mamlaka imetoka kwa Mungu (Warumi 13). Katuni za huyo jamaa, kwa mfano hiyo ya mama anapiga ngoma halafu yupo na JK...hiyo ni lugha ya picha na ina tafsiri kwamba mama ni DHAIFU, eti JK ndiyo anaongoza nchi kwahiyo mama anaendeshwa tu! In Law this is termed as defamation, which is defined as ruining the reputation of another, sasa siyo 'another' kama mimi an ordinary civilian, huyo ni Rais wa nchi (Amiri Jeshi Mkuu), kwahiyo hapo ameidhalilisha Taasisi ya Urais.
Sasa hii defamation inaweza kuwa slander (kwa maneno) au libel (kwa maandishi including CARTOONS).
Bebe nadhani umenielewa kidogo. Ajifunze kwa mwenzake KP (Masoud Kipanya), yule kumkamata ni shughuli manake Katuni zake kuzielewa ni mtihani!).
Ujumbe umefikaUkimnyofoa kucha haibadilishi kitu chochote kwamba huyo aliyechorwa ni mtoto anaongozwa kila kitu na Kiwete
Tuambie Hilo tusiHayo ni maoni au matusi?
Hakuna uhuru usio na mipaka.
Kiwete anaevaa miwani si umeshamjua? Ipo wazi sanaSijaona kosa lake maana hapo naona Cheif Hangaya aka Jumong aka Yezebeli na Kiwete.
Unadhalilisha mamlaka ya Rais unataka uwachwe? Nchi yetu bado changa sana Taasisi ya Urais ndiyo inayotuweka pamoja kama Taifa.KKw
Kwa katuni hiyo sidhani kuna mtu mwingine anaweza kulaumiwa zaidi yake mwenyewe.....
#NchiKwanza
#SiempreJMT
TanPol hawana akili.Hao waliomkamata huwenda hawana akili au ni machizi kabisa
Sasa kwa hiyo Cartoon unaweza kuthibitisha makosa yake?Kipanya katuni zake huwa hazipo straight kama huyu, Masudi anaficha maana sana ukiigundua unakua genius, sasa huyu ndugu anafungua code zote msomaji hapati tabu kufafanua
Sent using Jamii Forums mobile app
😁Kwa akili yako huyo ni rais?
Mtu akichora ushungi mwekundu amemchora rais?
Ona hapo maana ilivyofichwa, sasa unamtiaje kipanya kwenye hatia, ukweli kuna kipaji na msaka tonge, yeye kwanza aliwasema dana upinzani akamuacha magu kwa kuwa alikua na hofu sasa leo amejeuza kibao na serikali imemjeuzia kibao, kipanya sio mchoraji tu bali ni mzuri sana kwenye mafumbo[emoji16]
View attachment 1961164
Hueleweki, uliza swali kwa kutulia, au wewe ndiyo wale wanaojua maana ila ubishi ni jadi yaoSasa kwa hiyo Cartoon unaweza kuthibitisha makosa yake?
I see my wife in your reasoning..[emoji4]Nimekuelewa my dear explanation yako Iko so clear Yani mie niliona tu huyo cartoonist ni mjinga na ana mu undermine Raisi mbona magufuli akiwa Raisi hawakusema anaongozwa na mwingine why Mama, na I wonder watu wenye akili potofu wanao mdharau Rais na kumwingiza kikwete kitu ambacho sio fair kabisa, waache discrimination bana being a female president haimaanishi yeye hana roadmap yake ya kuongoza yatakiwa kuheshimiana wala. Ingawa mie niliona watu wenye mawazo finyu ka huyo ni wakuachwa tu na ujinga wao
Au ujifanye shujaa na kusema wewe bingwa umeiondoa Covid kwa maombi ya siku 3..mwisho wa siku tunakuzika wewe na wasaidizi wakoChora mkuu, unajiweka karibu na Ujerumani au USA.....unakuwa mkimbizi wa kisiasa kiulaiini, utarudi kugombea urais...wakikuzingua unakimbilia ubalozini....kwisha habari yao!
We bishana humu mtandaoni mwenzako anaminywa pumb*** huko muda humuKwa akili yako huyo ni rais?
Mtu akichora ushungi mwekundu amemchora rais?