Mchumba amebadilika na kuwa mlokole, sasa ni tabu tupu, bora kuoa mpagani

Mchumba amebadilika na kuwa mlokole, sasa ni tabu tupu, bora kuoa mpagani

Mke atakuwa wako ila anaesikilizwa ni mchungaji/nabii[emoji23][emoji23]
Na hili ndio tatizo kubwa. hawa wanawake wanaowapa watumishi nguvu nyingi zaid kuliko waume zao ni tatizo.
Kila maamuzi utasikia ngoja nikamuulize mtumishi
 
M nilkuwa 23 nimeshika dini kweli na nilikuwa sijaanza kungonoka sasa nwanaume nkampata nkakaa naye almost one year ndo nkamkubali kama mpenzi sasa ishu nafanyeje sex wakati kichwan nimejaa neno la Mungu,nilimkazia badae nkaona huu usenge at 23 mwanaume atakuwa anaenda kulala na wengine m nasubir ndoa nkaona bora tuenjoy tu
Ukaona bora umpoteze Yesu umkeep mwanaume
Hapana hatujachokana na tumeoana sasa
Naomba msaada, Mbegu zangu zinatoa harufu mbaya

Hapa ulikuwa unamuombea ushauri mumeo?
 
pambania hiyo kombe mkuu huwezi jua ndiye MUSA huyo mwenye fimbo ya mema😀
 
Hii imewahi kunikuta,Demu alikutana na Nabii huyo ni balaa,

Demu akawa ananipa mzigo Kama kawaida Ila masharti kibao,Mara eti hatak umshike maziwa Mara ukimnyonya shingo anakwambia eti hayo ni Mambo ya kidunia,Mara doggy style hataki kwenda na wakat kipind Cha nyuma ilikuwa kawaida tu,ikafikia hatua nikimuomba tukutane au aje hom hataki,siku moja akaja hom nikajua anakuja kunipa mzigo,badala yake akaja kunambia eti Nabii kamwambia eti kaonyeshwa mim Nina majini mia😃😃 eti inatakiwa niokoke na Mimi,nikamwambia,Mimi siwez kuokaka eti kisa umeambiwa hvo na huyo Nabii,pale pale nikamwambia Kama hauko tyr kunipa mzigo leo ni Bora tuachane,na kweli demu akasema Haina shida😭😭,akaondoka kweli banaa,

Nimekaza Kama wiki hivi bila kutafutana, weekend moja akanitumia katext mwenyew,"Uko wapi Babaa" nikamjibu "Nipo hom mamaa" akajibu "Nakuja Babaa", Demu Kaja nikashinda nae hom,na show ikapigwa nzito na koni akalamba *****.

Mpk leo anasali na mzigo nakula Ila nishamwambia asinipgie kelele na story za manabii uchwara.
 
Nimekaa nae karibu mwaka mmoja sasa, tulikua fresh tu, mambo yote ya kidunia hadi pombe sometimes wote tulikua tunakunywa tukiwa pamoja hasa hizi softies.

Ana mapenzi ya kweli na ni mzuri kweli kweli, ni mwanamke flani hivi mgumu kuingia kwenye mahusiano na mtu hata mie nili hustle sanaa kumpata.

Hivi karibuni sijui alikutana na nabii gani huko mitaani akambadilisha, kwa hakika hawa mitume na manabii wa mitaani wana nguvu na ushawishi kwa watu wenye roho nyepesi na za uoga, ni nabii ndio kambadilisha mind set huyu mwanamke, kawa mjinga wa mwisho duniani, yaani ujinga unapoishia ndio yeye anapoanzia.

Mwanzo niliichukulia poa, nikasema ni kitu kizuri kuwa na mke mchaMungu na hata mie nitakua free sanaa na michongo itazidi kumiminika sababu kubwa la maadui liko kwenye maombi kuninyooshea njia.

Vituko vikaanza akaanza kugoma kushiriki sex kama masikhara, kwanza haikua serious niliona kama akigoma usiku basi asubuhi anatoa, akigoma leo kesho ananipa fresh mno, baadae akaanza kugoma jumla na kufikia hapo nikasema sasa rasmi hapa hakuna mke tena.

Anasali sanaa, status anaweka kwaya masaa 24 na amebadili mavazi na mtazamo, nikimtext meseji zetu zile za kumuamsha hisia ni anachukia balaa, siku moja nusu aniue kwa hasira tulikua tumekaa nae na nikamgusia namna k. yake ilivyo amaizing, vitu ambavyo hapo mwanzo ilikuwa kawaida yetu kuvizungumza as unajua wapenzi wanavyokuaga.

Sasa mgomo moto ukaendelea, ule mgomo sio baridi, sasa nikaanza kuona drama zimekua nyingi na ndani naonekana kama mimi ni li freemason lenye mapepo, nahisi nabii alimwambia hivyo.

Nikajisemea huyu mwanamme sasa hivi ni gaidi la ki kristo, isis kabisa, so hanijui nadhani mie ndio papa Benedikto namba 16, basi nikampigia simu mchepuko wangu tena toto zurii zurii haswa halafu bado dogo tu, basi akantuliza bibie mie niseme nini nisipewe ee, narudi zangu home huko nilikotoka nimejilia vyangu mpaka naloweka, nikizusha safari za mikoani kikazi siku moja aaah mama katekista wala hana noma kwanza ndio ana furahi hakuna usumbufu.

Sasa imepita muda kidogo since nijisumbue nae kuomba game na simuombi wala kumwambia chochote, yeye ndio kwanza hata hastuki zaidi ana nipongeza kwa kuweza kumvumilia na kulishinda pepo la ngono,sad, juzi wakati ananipa pongezi hizo kidogo nimtukane tusi zito ili abebe na vitu vyake kabisa aamshe hapo home.

Kila nikimuangalia naiona dhamira yake ni nzuri sanaa na anacho kifanya ni kizuri kwa uzima wake wa milele, ila anakosea kwenye approaches, na mie sitaki tena kuongea nimechoka, nimempeleka places nikaongea nae kwa kirefu na kumwambia mipango yangu kwake na ofcoz sikuona mwingine wa kuoa na nikamwambia kila jambo liwe na kiasi, anakwambia ameelewa, tukirudi nyumbani yale yale tu, this is too much na sitaki tena ushauri wa mtu.

Nimetoa kama ushuhuda tu na sijui wenzangu mliweza kuyapita vipi maswaibu kama haya na too bad kadri siku zinavyokwenda ndio bora ya jana na ndio kwanza anaenda kukesha na kwenye masemina ndio kazi yake, na hana kazi huyu. Mchepuko kayajua haya madhaifu sasa ndio kama anafanyia sifa, siombi napewa, nnalishwa na mtoto ni screamer, naughty and wild.

Natamani mlokole wangu aniambie "baby its over" nitafanya bonge la party.

Nyie wadau labda mnipe ushauri namtoa vipi huyu katekista wa kike ndani kwangu aje huyu mama yenu mdogo wa pembeni tulisongeshe.
Kila kitu kikizidi kina madhara,Mi niliwahi kupata dada wa kazi mfumo ni huo huo yaani ibada ya jumapili asubuhi na jioni,akijiunga kifurushi cha semina ni wiki nzima,bila kusahau mikesha ya hapa na pale,Uvumilivu ulinishinda alipojiunga na kwaya yaani siku hakuna ibada au semina anaenda kufanya mazoezi ya voko,nilimwambia sikukatazi ila nitaanza kukulipa kwa kuhesabu siku unazonifanyia kazi kasoro jumapili tu ndio uko mapumziko.
 
Wewe ni mwanaume au mwanamke?
M nilkuwa 23 nimeshika dini kweli na nilikuwa sijaanza kungonoka sasa nwanaume nkampata nkakaa naye almost one year ndo nkamkubali kama mpenzi sasa ishu nafanyeje sex wakati kichwan nimejaa neno la Mungu,nilimkazia badae nkaona huu usenge at 23 mwanaume atakuwa anaenda kulala na wengine m nasubir ndoa nkaona bora tuenjoy tu
Naomba msaada, Mbegu zangu zinatoa harufu mbaya

Naomba msaada, Mbegu zangu zinatoa harufu mbaya
 
Kumfuata Mungu haijawai kuwa rahisi..Watu wanasheherekea zaidi zambi..ukimfuata Mungu unaonaekana mkosefuu...

Mambo ya Ajabu kabisa
Sasa hiyo cha mtoto. Wengine wengi tu watakwambia wanataka mke mcha Mungu; ila bado akimpata anataka aishi naye maisha ya ufirauni. Nahisi wana definition yao ya ucha Mungu. Mfano mtoa mada alifurahi kuona mwenzie anamtafuta Mungu; ila baada ya kunyimwa papuchi tu, mwenzie kawa mjinga wa mwisho eti teh teh

Ukiamua kweli kumtafuta Mungu basi ziba masikio usisikilize kelele za watu. Na usisahau kila siku utakumbushiwa past yako as if we dwell in the past.
 
Sasa hiyo cha mtoto. Wengine wengi tu watakwambia wanataka mke mcha Mungu; ila bado akimpata anataka aishi naye maisha ya ufirauni. Nahisi wana definition yao ya ucha Mungu. Mfano mtoa mada alifurahi kuona mwenzie anamtafuta Mungu; ila baada ya kunyimwa papuchi tu, mwenzie kawa mjinga wa mwisho eti teh teh

Ukiamua kweli kumtafuta Mungu basi ziba masikio usisikilize kelele za watu. Na usisahau kila siku utakumbushi past yako as if we dwell in the past.
[emoji23][emoji23]...Kumcha Mungu kwao nikutambua TU Kwamba yupo na wakati wa matatizo kumlilia..lakini kufuata maamrisho na makatazo yake...Ni Vita.
 
Mchungaji akihubiri acha dhambi; utaambiwa wake zetu wanawasikiliza sana Wachungaji; as if Wachungaji wana Biblia zao binafsi tofauti na hizi za kwetu tunazobebaga jumapili na, wengine kuziweka chini ya mito tunavyolala ili tusikabwe na majini heheeh
[emoji23][emoji23]...Kumcha Mungu kwao nikutambua TU Kwamba yupo na wakati wa matatizo kumlilia..lakini kufuata maamrisho na makatazo yake...Ni Vita.
 
Bulaza unaelekea kufeli mda sio mrefu. Nakushauri kaa na huyo binti mwambie unataka kumuoa. Ameshabadilisha lifestyle ila cha kushangaza wewe bado uko kwenye maisha yako ya Misri wakati yeye anajitahidi kuisogelea Kanaani. Ukimtangazia ndoa huyo binti utajikuta unajipokelea mibaraka mingi sana kwa sababu kwanza mlikuwa wote Misri na ye ameshaonesha nia na dhamira halisi ya kubadilika. Angalizo la msingi, ukikubali kumuoa lazima ujipange kubadilisha maisha haya unayoishi sasa. Lazima uwe mtu wa church na mengineyo. Huyo binti mzuri wala usimuone boya.

Muache wajanja wamchukue halafu uone wanavyotambalia nyota. Utafeli huku unakuja kusoma hii post yangu unalia. Nisikilize mimi mzee Baba. Shauri yako.
Huu sio ushauri ni upupu[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Back
Top Bottom