Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi nipo njianimm ni kijana wa kitanzania nina tafuta mchumba mm ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba,gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho ktika maisha tatzo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mm ni tajir. sina vigezo kma wengne dini yeyote akn awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote atakaye guswa ha hili andiko aje PM
fursa hizo sema watu wa madini wanakufaga haraka ..
basi sawa mkuu ila najua hudhulumu watu? me sitaki watu wanaodhulumu niishi nao . kama unadhulumu labda nije tu kukupa kamapani wakati unatafuta mwenzioHamna iman yko hyo mm nitaishi milele
Kiongozi ebu tusaidie hii ishu ya mchanga wa madini imekaaje kwa uzoefu wako.ni kweli tunapigwa?mm ni kijana wa kitanzania nina tafuta mchumba mm ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba,gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho ktika maisha tatzo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mm ni tajir. sina vigezo kma wengne dini yeyote akn awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote atakaye guswa ha hili andiko aje PM
Poa ahsante kiongozi.Hyo mkuu mkuu tunapigwa wazi wazi haihitaji hata elimu ya shule ya msingi kujua kama tunapigwa
lakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoemm cio mtu wa dhuruma hata kdgo labda ww ndyo uje unidhurumu
Poa out utatolewa sana tu usihofulakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoe
asante shemejiPoa out utatolewa sana tu usihofu
Duh ninacho kiamini ungekuwa na hivi vitu yani ata mda wa kujitangaza umu unataka mke usinge upata maana kwa dada zetu kwa maisha uliyo sema ungekuwa nao wengi uko uliko kwani we unakutana na wangapi kwenye biashara umekosa mpaka unakuja hukumm ni kijana wa kitanzania nina tafuta mchumba mm ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba,gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho ktika maisha tatzo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mm ni tajir. sina vigezo kma wengne dini yeyote akn awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote atakaye guswa ha hili andiko aje PM