Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mfanyakazi wa TMAA pia niko single naomba nikutafute.Mimi ni kijana wa kitanzania ninatafuta mchumba, mimi ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba, gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho katika maisha, tatizo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mimi ni tajiri, sina vigezo kama wengine dini yeyote lakini awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote.
Atakayeguswa na hili andiko aje PM.
Kma ni kE njoo pmMimi ni mfanyakazi wa TMAA pia niko single naomba nikutafute.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Hahaaaa!!Lipoti ya tume ya 2 ikitoka nakupa ajira maana xaiz mambo yameyumba kdogo
Utolewe out tu... Just for fun.lakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoe
HapanaUtolewe out tu... Just for fun.
Kula uliwe aiseee
Kwanza wewe una kesi ya kujibu.Hapana
Leo na mafua makali sana njoo maeneo Porto belloKwanza wewe una kesi ya kujibu.
Afu Unataka outing. Lakini mimi kama tejateja nakupa offer weekend hii.
Follow the offer baby. Karibu ndotopolepole Kesho. Exclusive just two of us.Leo na mafua makali sana njoo maeneo Porto bello