Mchumba anahitajika hapa

Mchumba anahitajika hapa

Ngoja nije

nnavopenda midhahabu shingoni na masikioni!!

nnavopenda maisha ya utajiri

ha ha ha ha

mtu kishanitangazia tajiri mi nibakie na shida kwanini??
 
Naona na madini ntapatiwa... Ngoja niende
 
Mimi ni kijana wa kitanzania ninatafuta mchumba, mimi ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba, gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho katika maisha, tatizo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mimi ni tajiri, sina vigezo kama wengine dini yeyote lakini awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote.

Atakayeguswa na hili andiko aje PM.
Mimi ni mfanyakazi wa TMAA pia niko single naomba nikutafute.

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
Tajiri wa Acacia atangaza nafasi adhimu Kwa akina dada. Hii ni baada ya kukoswa koswa na jambia la Magufuli.
 
wapenda hongo utatafuna nyugunyu zao sana, ila kwa uelewa wangu wangekutafuta wewe.
 
lakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoe
Utolewe out tu... Just for fun.
Kula uliwe aiseee
 
Back
Top Bottom