Mchumba anahitajika hapa

Usikute bado unalala kwenu...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€....alafu unajisifu una hela............ungekuwa na hela wangekuja wenyewe wala usingetaabika kama unavotaabika.............unadhani ukisema una hela ndo watakuja....utamaliza kuni kwa kuchemsha mawe....
 
safi nipo njiani
 
Kiongozi ebu tusaidie hii ishu ya mchanga wa madini imekaaje kwa uzoefu wako.ni kweli tunapigwa?
 
Miss natafuta, aka miss nimechoka ....
Pitia hapa kuna fursa
 
Kiongozi ebu tusaidie hii ishu ya mchanga wa madini imekaaje kwa uzoefu wako.ni kweli tunapigwa?
Hyo mkuu mkuu tunapigwa wazi wazi haihitaji hata elimu ya shule ya msingi kujua kama tunapigwa
 
mm cio mtu wa dhuruma hata kdgo labda ww ndyo uje unidhurumu
lakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoe
 
lakini me jamani nakuonea huruma nikuache sababu kwenye pesa uaminifu sina ..Mungu akusaidie upate mwenza mzuri kwa kweli roho yangu inanisuta . barikiwa rafiki mwema ila ukitaka kunitoa out basi njoo tu unitoe
Poa out utatolewa sana tu usihofu
 
Duh ninacho kiamini ungekuwa na hivi vitu yani ata mda wa kujitangaza umu unataka mke usinge upata maana kwa dada zetu kwa maisha uliyo sema ungekuwa nao wengi uko uliko kwani we unakutana na wangapi kwenye biashara umekosa mpaka unakuja huku
ila poa wasibiri wajinga wajinga utawapata ila kwa staili uliyo tumia uwezi mpata mwenye timamu zake
 
Ungekuwa na hela sidhani hata kama ungekuja kuweka tangazo hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…