Mchumba anahitajika hapa

If you confirm the acceptance of the offer nafanya booking sasa kwaajili ya kesho
 
basi sawa mkuu ila najua hudhulumu watu? me sitaki watu wanaodhulumu niishi nao . kama unadhulumu labda nije tu kukupa kamapani wakati unatafuta mwenzio
And during that time atakua anakazia SWAUM?
 

Mmmmh hutafut kafara kwel maana watu wa madini alafu unaweza kua na pesa ucwe mtoaji
 

Acha kumkatisha tamaaaa huo ni wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…