Mchumba anahitajika hapa

Mchumba anahitajika hapa

If you confirm the acceptance of the offer nafanya booking sasa kwaajili ya kesho
 
basi sawa mkuu ila najua hudhulumu watu? me sitaki watu wanaodhulumu niishi nao . kama unadhulumu labda nije tu kukupa kamapani wakati unatafuta mwenzio
And during that time atakua anakazia SWAUM?
 
Mimi ni kijana wa kitanzania ninatafuta mchumba, mimi ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba, gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho katika maisha, tatizo tu natafuta mchumba aje tufurahie maisha mimi ni tajiri, sina vigezo kama wengine dini yeyote lakini awe mdada asiwe na roho mbaya yeyote.

Atakayeguswa na hili andiko aje PM.

Mmmmh hutafut kafara kwel maana watu wa madini alafu unaweza kua na pesa ucwe mtoaji
 
Duh ninacho kiamini ungekuwa na hivi vitu yani ata mda wa kujitangaza umu unataka mke usinge upata maana kwa dada zetu kwa maisha uliyo sema ungekuwa nao wengi uko uliko kwani we unakutana na wangapi kwenye biashara umekosa mpaka unakuja huku
ila poa wasibiri wajinga wajinga utawapata ila kwa staili uliyo tumia uwezi mpata mwenye timamu zake

Acha kumkatisha tamaaaa huo ni wivu
 
Back
Top Bottom