Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 170
- 315
Mkuu pitia kunako Pm yako, naomba msaada wako tafadhaliWatu washatoboa zizi hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pitia kunako Pm yako, naomba msaada wako tafadhaliWatu washatoboa zizi hapo
Hahaha ukiona hivyo Kama habanii ushuzi mbele yako ujue hakuna siri anazo kuficha.interesting.kuishi na mtu haujazaliwa nae tabu sana
apunguze kula mbaaz mkuuSamahanini kwa mada yenye ukakasi kiasi! ila ninashangazwa na kufadhaika!
Mchumba anatoa mashuzi mno....yaani mno! akilala kidogo tu tatizo linaanza mpaka anapoamka. unaweza kumuamsha na kuzuga kwa vistori vya hapa na pale kwa matumaini labda tatizo litaisha, lakini mkimaliza maongezi na akilala tu kazi inaanza tena hadi asubuhi.
Hili jambo linanikera kiukweli na imefikia mpaka vimaswali fulani vya kishetani visivyo vyema vinanijia kuhusu historia yake (waungwana mtakuwa mmenielewa hapa).
Naombeni ushauri wadau maana sioni kama ni sahihi kukwazana na hata kufika mbali kwa sababu yenye aibu km hii.
ANGALIZO: mi ni me na huyo mchumba ni KE
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daaah kauli ngumu hii kwenye wakati mgumu.Ukipenda boga penda na ua lake.
Mm nadhan hii iwe BIBI KATOA , BWANA KATWAAkama ni ke basi hakuna namna,yaan ni bwana ametoa na bwana ametwaa....
Tushaelewa.kama ni ke basi hakuna namna,yaan ni bwana ametoa na bwana ametwaa....
😊😁😂Yani wakati serikali inatumia gharama kubwa kuchimba gesi huko madimba mnazi bay we kumbe una mgodi wako ndani na umekaa kimya tu haha, ila mkuu hiyo ni dalili humlishi vizuri huyo mchumba ako au labda hanywi maji ya kutosha.
Anaekoroma tatizo Ni anapostuka, utaona anavyobadili.gia Ni ugonjwa Mungu awalinde ndg hawaLooooh!
Ukitaka kukoma ni pale ambapo umkute anajamba na kukoroma ucku..... utatamani kuhama chumba aiseee!..... Ni sheeeedah!
Hio sio ishu sana,ila jua kua hata yeye lazm anafahamu Ana tatzo hlo na cku ukikaa nae kumueleza ndo utajua manake atakwambia nafahamu kuwa nina tatzo hiloSamahanini kwa mada yenye ukakasi kiasi! ila ninashangazwa na kufadhaika!
Mchumba anatoa mashuzi mno....yaani mno! akilala kidogo tu tatizo linaanza mpaka anapoamka. unaweza kumuamsha na kuzuga kwa vistori vya hapa na pale kwa matumaini labda tatizo litaisha, lakini mkimaliza maongezi na akilala tu kazi inaanza tena hadi asubuhi.
Hili jambo linanikera kiukweli na imefikia mpaka vimaswali fulani vya kishetani visivyo vyema vinanijia kuhusu historia yake (waungwana mtakuwa mmenielewa hapa).
Naombeni ushauri wadau maana sioni kama ni sahihi kukwazana na hata kufika mbali kwa sababu yenye aibu km hii.
ANGALIZO: mi ni me na huyo mchumba ni KE