Mchumba hahudumiwi vijana


[emoji23]
 
Mkuu ulidhani mke wa mtu ndo utakulaa buree[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukiona mwnaamke anakataa helaa sio kwamba hapendi ila ni ndogo ndogo unampaaa siku atakujia kwa kazi anayoona yeye inamtoshaaaa sio veilfu 30 vyakoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ahaha ni kwel chief.Lakin kwan wewe hujawah ona humu watu wanajidanganyaga kuwa wake za watu hawana mizinga!??
Kumbe tu mfumo wao ni tofauti kidogo.

Halaf pia mimi siwez kula mzigo halaf nilipe zaid ya 50k kwa session moja tu??? Tena ukute labda mzigo umekula kwa masaa ma 3 tuu naanzaje kutoa zaid ya 50k???
Noo way.
Value for money matters.
 
Wanaoombaga chini ya 50K wake za watu ni wachache na hapo atakwambia ya kikoba tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Otherwise wanapigaa mizingaa mikubwaa balaaaa unaweza tamani umwambie mme wakeee
 
Daaah! Wewe jamaa 🤣🤣🤣

Kwani angekuwa ni mkeo anakwambia hivyo ungefanyeje?
 
Ahahahah...ofcz i came to learn about them na ni stori ndefu sanaaa ikihusisha pia mambo ya kishirikina humo humo ila elewa tu mambo ya ndoa ni magum sana sema ndio hivyo mi nikajionra yu hayanihusu.
Daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…