Mchumba hahudumiwi vijana

Mchumba hahudumiwi vijana

Hata mi Kuna wanawake nawagonga bila hata mia na wengine ni wao hunipa mimi hela

Lakin mwanamke nnayempenda lazima namgharimie, me nahita kugharamia ila we ukitafsiri kuonga it's ok
°endelea Kuhonga huku Wahuni wanagonga bure kabisa
 
Hata mke utamhudumia halafu kuna bodaboda tu au kijamaa kivaa vinjunga na dread kichwani kikakugongea mkeo wa ndoa
°kumgharamia mke ni jukumu la kisheria, kasome sheria ya ndoa imesema mwanaume ana jukumu la kumtunza mke na watoto, lakini haijasema unatakiwa kumtunza mchumba
 
°yeah value for Money, na pia demu kumbe alikuwa na jamaa yake Pembeni na ndiyo kamuoa Kwa Sasa, tangu siku hiyo nikaona kuhonga ni uduanzi
Alikuwa anakupa kwa masharti kwa sababu alikuwa hajakuelewa huyo mwana ndo alimuelewa ni vitu vya kawaida kwenye mahusiano alikuwa anakuchuna tu

Kwa hiyo sasa hivi unanunua malaya au CHAPUTA?
 
Alikuwa anakupa kwa masharti kwa sababu alikuwa hajakuelewa huyo mwana ndo alimuelewa ni vitu vya kawaida kwenye mahusiano alikuwa anakuchuna tu

Kwa hiyo sasa hivi unanunua malaya au CHAPUTA?
°mkuu unaingia deep 🤣🤣 Nina KADI number 5 ya CHAPUTA na Kwa Sasa Nina cheo Cha Katibu Mwenezi wa CHAPUTA
 
Back
Top Bottom