Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani mkuu?°nasema sina
°tatizo kuvunja Uchumba ni rahisi sana kuliko kuvunja ndoa, Uchumba kuvunjika ni rahisi sana japo sheria ya ndoa imetoa mwanya wa kudai gharama zako ulizotumia kumtunza mchumba huyo kutokana na breach of promise to marry but kushinda hiyo kesi ni ngumu😀😀anahudumia mke
Nina degree ya economics,masters na CPA (T)Una umri gani mkuu?
Saloon wazazi wamsaidie, Mimi natafuta Pesa za Saloon akiisha ingia ndani. Mbona mambo mepesi sanaKwa mfano mchumba wako akikuomba hela ya salon utamwambiaje?
Kwa hiyo hakuna hata siku utamtoa out?Saloon wazazi wamsaidie, Mimi natafuta Pesa za Saloon akiisha ingia ndani. Mbona mambo mepesi sana
Akaunti zako za benki zinasomaje mtonyo uliopo? Una assets zenye thamani gani?Nina degree ya economics,masters na CPA (T)
°pesa IPO mbona mkuuAkaunti zako za benki zinasomaje mtonyo uliopo? Una assets zenye thamani gani?
°kama unahonga wewe honga tu lakini jua Kuna wanaogonga bila kutoa hata 100It doesn't work like that mtaani
Punyeto itakuua
Acha ubahiri wewe Certified Public Accountant hudumia mchumba°pesa IPO mbona mkuu
Hata mi Kuna wanawake nawagonga bila hata mia na wengine ni wao hunipa mimi hela°kama unahonga wewe honga tu lakini jua Kuna wanaogonga bila kutoa hata 100
Hata mke utamhudumia halafu kuna bodaboda tu au kijamaa kivaa vinjunga na dread kichwani kikakugongea mkeo wa ndoa°kama unahonga wewe honga tu lakini jua Kuna wanaogonga bila kutoa hata 100
°endelea Kuhonga huku Wahuni wanagonga bure kabisaHata mi Kuna wanawake nawagonga bila hata mia na wengine ni wao hunipa mimi hela
Lakin mwanamke nnayempenda lazima namgharimie, me nahita kugharamia ila we ukitafsiri kuonga it's ok
°kumgharamia mke ni jukumu la kisheria, kasome sheria ya ndoa imesema mwanaume ana jukumu la kumtunza mke na watoto, lakini haijasema unatakiwa kumtunza mchumbaHata mke utamhudumia halafu kuna bodaboda tu au kijamaa kivaa vinjunga na dread kichwani kikakugongea mkeo wa ndoa
° nishagharamia zamani hizo nikaona uduanzi, unahonga lakini mzigo unapewa kwa masharti kibaoAcha ubahiri wewe Certified Public Accountant hudumia mchumba
Unamaanisha ulikuwa hauoni ile value for money?° nishagharamia zamani hizo nikaona uduanzi, unahonga lakini mzigo unapewa kwa masharti kibao
°yeah value for Money, na pia demu kumbe alikuwa na jamaa yake Pembeni na ndiyo kamuoa Kwa Sasa, tangu siku hiyo nikaona kuhonga ni uduanziUnamaanisha ulikuwa hauoni ile value for money?
Alikuwa anakupa kwa masharti kwa sababu alikuwa hajakuelewa huyo mwana ndo alimuelewa ni vitu vya kawaida kwenye mahusiano alikuwa anakuchuna tu°yeah value for Money, na pia demu kumbe alikuwa na jamaa yake Pembeni na ndiyo kamuoa Kwa Sasa, tangu siku hiyo nikaona kuhonga ni uduanzi
°mkuu unaingia deep 🤣🤣 Nina KADI number 5 ya CHAPUTA na Kwa Sasa Nina cheo Cha Katibu Mwenezi wa CHAPUTAAlikuwa anakupa kwa masharti kwa sababu alikuwa hajakuelewa huyo mwana ndo alimuelewa ni vitu vya kawaida kwenye mahusiano alikuwa anakuchuna tu
Kwa hiyo sasa hivi unanunua malaya au CHAPUTA?