Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
🤣🤣🤣🙌🙌 kutana na mwenyekiti wako wa CHAPUTA hapa jf ndugu dronedrake°mkuu unaingia deep 🤣🤣 Nina KADI number 5 ya CHAPUTA na Kwa Sasa Nina cheo Cha Katibu Mwenezi wa CHAPUTA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🙌🙌 kutana na mwenyekiti wako wa CHAPUTA hapa jf ndugu dronedrake°mkuu unaingia deep 🤣🤣 Nina KADI number 5 ya CHAPUTA na Kwa Sasa Nina cheo Cha Katibu Mwenezi wa CHAPUTA
Kumbe Nina kiongozi wangu humu JF, mwambie CHAPUTA tunadai Katiba mpya,hii tunayotumia kwa sasa Katiba ni ya zamani imepitwa na wakati,🤣🤣🤣🙌🙌 kutana na mwenyekiti wako wa CHAPUTA hapa jf ndugu dronedrake
hahahaKumbe Nina kiongozi wangu humu JF, mwambie CHAPUTA tunadai Katiba mpya,hii tunayotumia kwa sasa Katiba ni ya zamani imepitwa na wakati,
Kuna mwananke nilimkimbia kwasababu ya vicoba vingiHizi nyuzi nyingi leo
Sa itakuaje [emoji28][emoji28]
Kuna mtoto wa mtu ameshaniahidi kunipea hela nikalipe kikoba akiona hizi nyuzi nimeisha[emoji28]
Hahaa hivi mnakuaga serious kabisa na hii kitu? Sasa mbona kelele ni nyingi sana wakati mbadala upo?Kuna sabuni
Nakazia mkuu°washaona mapenzi ni ajira, na chanzo Cha kipato, wauzaji uchi tu hao
Unajua gharama za kumuhudumia mchumba ukiishinae piga hesabu kwa mwaka mmoja pesa ni nyingi Sana inapotea wewe hauna uhalali wakummiliki mwanamke ambaye sio mke yupo huru muda wowote kuvunja mahusiano wala hakuna sehemu utaenda kumshtaki wala kulalamikaMimi manzi akinipa mbunye nampa huduma sina pingamizi
😁 mbadala sio mtamu kama mbususuHahaa hivi mnakuaga serious kabisa na hii kitu? Sasa mbona kelele ni nyingi sana wakati mbadala upo?
🤣🤣🤣 amekusikia mwenyekiti dronedrakeKumbe Nina kiongozi wangu humu JF, mwambie CHAPUTA tunadai Katiba mpya,hii tunayotumia kwa sasa Katiba ni ya zamani imepitwa na wakati,
Hiki ndo kinachotakiwaMimi manzi akinipa mbunye nampa huduma sina pingamizi
Similarly kutoa chiu ni jukumu la kisheria kwa mwanamke. Maana ameolewa ili aje alale chiu na sio kubana. Na akimnyima mume wake, mume anaweza kwenda kumshtaki kwamba mke wangu hanipi huduma na hana sabbu. It works both ways.°kumgharamia mke ni jukumu la kisheria, kasome sheria ya ndoa imesema mwanaume ana jukumu la kumtunza mke na watoto, lakini haijasema unatakiwa kumtunza mchumba
°tatizo kuvunja Uchumba ni rahisi sana kuliko kuvunja ndoa, Uchumba kuvunjika ni rahisi sana japo sheria ya ndoa imetoa mwanya wa kudai gharama zako ulizotumia kumtunza mchumba huyo kutokana na breach of promise to marry but kushinda hiyo kesi ni ngumu
Changu kimojaKuna mwananke nilimkimbia kwasababu ya vicoba vingi
°sijakuelewa mamieChangu kimoja
°mbususu Ina Gono,kaswende,PID,HIV,UTI 🤣😁 mbadala sio mtamu kama mbususu
°unalipa ada au sioMi nlikuwa namsomesha chuo kikuu tumezinguana tu jana naona km kuna msengerema anabonyea kiaina sijibu sms wala vm anahangaika sana, maana yake atarudi jom siku c nyingi
°mkuu hili limekuwa janga la TAIFA, VICOBA,na Michezo mbalimbaliKuna mwananke nilimkimbia kwasababu ya vicoba vingi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umekwisha kwa nyuzi hiziHizi nyuzi nyingi leo
Sa itakuaje [emoji28][emoji28]
Kuna mtoto wa mtu ameshaniahidi kunipea hela nikalipe kikoba akiona hizi nyuzi nimeisha[emoji28]
Kwisha habari yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umekwisha kwa nyuzi hizi