Acha pombe zako na wewe mwambie huyo ndugu aache upoyoyo hii dunia siyo ya kuchaguliwa mke.mpe lita 5 za mafuta anywe kila siku, atanenepa
Mkuu sio vizuri kuvunjana mbavu bhana....nimecheka sana aiseeeemambo mengine ni ya aibu tuu kwahiyo dada zako ndo wanakuchagulia mke wakati unampeleka kumtambulisha hulikuwa hujamwangilia shepu au ulimchukua ucku uzuri wa mwanamke siyo shepu ni bali ni tabia shepu hata mbuzi anayo bhana
Wanaoa dada zako au unaoa wewe?
Ng'wanisecha sanaUmeona eeh,hajitambui huyu. Ngoja na mm nimuongezee......nyanoko gete.
Hv huyu ni mwanaume, wakiume au mvulana.
Yaan n balaa tu ukimwambia kitu lazma aende kuwaambia Dada zake kwanza
Ukiolewa hapo lazma uwe mtumwa
Kwani dada zako ndo wanamuoa huyo dada au wewe?Halafu wanaume wa hivi nawachukia nyieeee!!!Yaani mnaendekeza kusikiliza maneno maneno ya ndugu yasiyo na kichwa wala miguu!!!Ningewaona wana point endapo mmoja angesema anamfahamu mchumba wako ni changudoa mzoefu lakini eti mwembamba??Afu na wewe mwanaume mzima unakuja kuleta hii mada tukusaidie ushauri kweli??We akili za kufikiri huna? Basi mtafute Asha boko umuoe uwaridhiishe dada zako!! Nya........
Inauma sana twin....tutapigana ndani kila siku
sio suala la kupotezeana muda mkuu...nipe mbinu za kuwashawishi dada zangu ili tufikie muafaka bila kununiana aisee!!
unasema sijampenda?!! ungejua ninavyomuhudumia huyu binti usengediriki kusema hayoo.
Wao hawajaolewa bado ila wanafanya kazi mmoja ni lecturer chuo kimoja kikubwa mwingine ni senior tax officer TRA!!
mimi ninampenda huyu huyu wangu!!