Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Acha uzinzi. Oa kwanza kisha utuulize cha kufanya.
 
Ipo hiviii... Nilijuana nae mwaka jana alikua akiishi mbezi Afrikana nikamshawishi , na yeye bila hiyana akanikubalia safi bila tatzo. Mimi ni muajiriwa kampuni fulani mjini mara nyingi saa 10 or 11 alfajiri huwa naenda kazini sasa ikawa anakuja mtaani naweza kumnyandua mara moja and alfajiri simnyandui wala nn coZ nahofia kumwamsha usngizini maybe atamaind.

Kama akija nilikua nanyandua mara moja bas nalala asubuh yeye akiamka anaenda mishemishe zake na mimi mishemishe zangu. Mwez wa 12 tukaelewana nipeleke barua kwao bila hiyana alikubali, nikapeleka bila tatzo. Majibu yalirud safi alhamdulillah nikakubaliwa na mahari ikapangwa kama 1.2M.

mwez wa 5 nilipeleka mahari kwao kama 700k nyingine deni ad leo na nikamuomba tuish kidogo kama maswala ya ndoa tukijipanga tutakamilisha. Sasa kwenye swala la kunyanduana nilizani maybe kwa sababu sjatoa mahari datz why ananifanyia hivyo kumbe na nikitoa atabadilika, kuumbe ni tofaut na matarajio yangu.

Naweza kuwa nna ugum kinomaaaa nikiomba game mara niambiwe tumbo linaniuma, au subiri baadae na nikiambiwa baadae ni baadae kweli i mean hata kukumbushia halumbushii, mda mwingine ntaambiwa subiri chakula kishuke ndo tutaduu hapo utasubir kama lisaa lizima na mwenzio wala hana habar na kama ni usiku kama ni usingizi utakuchukua bila kuduu.

Kingine asubuh na kijiubaridi cha Darisalam Hasani kichwa lazma asmame nikimshirikisha mwenzangu hatak in short skumbuki lini nilipewa asubuh na huyu duu. Ushauri hapo nifanye vipi napata tabu kinomaaaa.... unga huu uzi mkuu msaada

Aiseee pole sana!! Inaoneka huwezi game au kashadanganywa kwamba akikupa sana hautomuoa.
 
mmh hivi huwa mnaombaje mechi?
najua huja automatically
Ndomaana mnaambiwa inabidi muwe connected, haya mambo ya kuoa wife material halafu kitandani 0, huwezi kupata mzuka wa kudinya.

Same goes kwa wanawake, umeolewa na jamaa kisa umefuata pesa, jamaa akikojoa kimoja tu ndo mpaka "Happy new month" nyingine.


Hii inapoteza sana mzuka wa hili tendo.


Mitano tena kwenye kuoa.
 
hapo huyo maanzi itakuwa anapata maumivu wakati wakunyanduana au ana matatizo kwenye homoni hawa wenzetu wana shindwaga kusema kama wana tatizo kwenye via vyao au humurizishi kwenye mech au humwandai vizuri wakati wa kunyanduana jaribu kukaa nae
 
Samahani sana lakini Mkuu naomba uache Ufala na uache Utoto. You need to act like a man not a boy. Uyo mwanamke umemuoa kwa kumlipia Mahari au yeye ndo kakuoa wewe kwa kukulipia mahari?
Chukua ushauri huu "mtafutie mke mwenzake ili aje amsaidie izo kazi ambazo yeye hazifanyi"
 
Show mbovu,
Tafuta kungwi akufunde jinsi ya kumpa ashki mwanamke hadi afike kileleni.
Sasa kama show mbovu mbona mahari amekula..na kwa nini asimwambie kuwa baby siridhiki..na ikiwezaka kuomba kabisa talaka.

Option ya kumbania unyumba mumeo ndo option nzuri?...Ingekuwa mimi ningekitimua hicho kipumbavu just in her first days za kuanza vijisababu
 
Sometimes hata kupewa bas utapewa ili mradi ham iishe tu atatanua miguu ukimalza anabana miguu show imeisha
wanaume wa siku hizi tumekuwa wadhaifu hata sijui tunakwama wapi!, broo piga chini tafuta anayekupenda maisha mafupi kulialia kuomba mbususu ni dalili ya
udhaifu kabisa.
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
wewe hujaoa wewe Ni bachelor tu
 
Ndomaana mnaambiwa inabidi muwe connected, haya mambo ya kuoa wife material halafu kitandani 0, huwezi kupata mzuka wa kudinya.

Same goes kwa wanawake, umeolewa na jamaa kisa umefuata pesa, jamaa akikojoa kimoja tu ndo mpaka "Happy new month" nyingine.


Hii inapoteza sana mzuka wa hili tendo.


Mitano tena kwenye kuoa.
Hakika
 
hapo huyo maanzi itakuwa anapata maumivu wakati wakunyanduana au ana matatizo kwenye homoni hawa wenzetu wana shindwaga kusema kama wana tatizo kwenye via vyao au humurizishi kwenye mech au humwandai vizuri wakati wa kunyanduana jaribu kukaa nae
Nikamkazia anasema namridhisha datz why ad leo yupo na mimi so simsomiii
 
Samahani sana lakini Mkuu naomba uache Ufala na uache Utoto. You need to act like a man not a boy. Uyo mwanamke umemuoa kwa kumlipia Mahari au yeye ndo kakuoa wewe kwa kukulipia mahari?
Chukua ushauri huu "mtafutie mke mwenzake ili aje amsaidie izo kazi ambazo yeye hazifanyi"
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom