Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Asante mkuu
Yaani mimi kanuni yangu huwa naendeshwa na hela sio mwanamke au binadamu.
Kama hela ipo nina uwezo wa kufanya chochote au kununua chochote kile.
Yaani uteseke na ugumu na mfukoni una hela ni uzembe wa hali ya juu.
Tafuta mwanamke mwingine mstaarabu kidogo awe mchepuko wako,ukitoka kazini unamaliza kila kitu huko ukirudi nyumbani unalala naye kama kaka na dada kwa muda wa miezi 3 mfululizo halafu subiria matokeo

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mimi kanuni yangu huwa naendeshwa na hela sio mwanamke au binadamu.
Kama hela ipo nina uwezo wa kufanya chochote au kununua chochote kile.
Yaani uteseke na ugumu na mfukoni una hela ni uzembe wa hali ya juu.
Tafuta mwanamke mwingine mstaarabu kidogo awe mchepuko wako,ukitoka kazini unamaliza kila kitu huko ukirudi nyumbani unalala naye kama kaka na dada kwa muda wa miezi 3 mfululizo halafu subiria matokeo

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Shukrani kwa ushauri
 
Ana umri wa miaka mingapi?

Wanawake wengi ambao hawajakwaruzwa Sana ukomavu wao kwenye via vya uzazi huwa bado .

Kwa hiyo nenda naye taratibu baadaye atazoea mwanamke hupanda ngazi taratibu siyo kama mwanaume, na akipanda atakaa peek muda mrefu wakati wewe ushaanza kushuka jumlisha navyakula vya kisasa ndo basi

Akishafikia ukomavu utakuwa unaomba poo yeye yupo na wewetu ndiyo hapo ataanza kudhani unatoka nje , Kwa kujiuliza maswali mbona kipindi kile alikuwa vzr mbona sasa hivi kama mzee wa kimoja chali ......


Na ukizubaa anatafuta njemba nje
 
Jamaa namuonea huruma sana,yaani hata mwaka wa kwanza wa ndoa bado kashaanza kuteseka.
Hapo ameingia choo cha kike achukulie hiyo mahali ametoa sadaka.
Inawezekana huyo demu kuna vitu alikuwa anapewa mwanzoni vikamfanya ashawishike kuwa na jamaa ambavyo sasa hivi baada ya kuhamia kwa jamaa havipati kwa hiyo anamuwekea mgomo baridi kiaina ila jamaa haelewi jinsi ya kumsoma

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Anasema ni tangu mwanzo hali ilikuwa hivyo akajua labda sababu hajalipa mahari..kalipa ila bado hapewi..

Kuna wanaume wanateseka
 
Wanaume wengine Bana ivi wewe ni wakiume au mwanaume ivi unabembeleza kupewa nyapu na mkeo au mchumba wako kabisa yani kabisaa aisee ni kwambie Tu hina msimamo hujiwezi na kingine kichungu Hana hisia nawe tafuta mwenye hisia na wewe
 
Wanaume wengine Bana ivi wewe ni wakiume au mwanaume ivi unabembeleza kupewa nyapu na mkeo au mchumba wako kabisa yani kabisaa aisee ni kwambie Tu hina msimamo hujiwezi na kingine kichungu Hana hisia nawe tafuta mwenye hisia na wewe
Sijaelewa kwa kweli jamaa ushawishi haupo kabisa binafsi humo ndani kusingekalika
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Wanawake wenye Tabia kama hizi wapo wengi Sana. Mimi nimeexperience Kwa mademu wanne hivi
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Huyo hakupendi. Utapoteza tu muda wako na yeye.
 
Back
Top Bottom