Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Mchumba wangu ananipa masharti magumu ninapotaka kufanya naye mapenzi

Sasa kama show mbovu mbona mahari amekula..na kwa nini asimwambie kuwa baby siridhiki..na ikiwezaka kuomba kabisa talaka.

Option ya kumbania unyumba mumeo ndo option nzuri?...Ingekuwa mimi ningekitimua hicho kipumbavu just in her first days za kuanza vijisababu
Dah!
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Jinsia yako tafadhali.
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Kumekucha kumechakucha mambo yameumana
 
Kutia ni Art kaka....ukiifanya kwa ustad binti lazima awe anataka mara zote...na pia kama una kibamia na kitambi bas tatzo linaanzia hapo anaona unamchosha tu
Sio mgeni kwenye kunyandua nishanyandua sana nyapu so huyu sjui ana nn tu
 
Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.

In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.

Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.

Shukrani zenu.
Ameshakuona we bwege tu huhemi husemi kwake ndo maana unapangiwa
 
Ili moto ukamuwakie vizuri..hahahah

Yani ilitakiwa haya akutane nayo ndani ya ndoa..ananyimwa saivi hata mtoto bado, wakioana akaja mtoto baba wa watu si atawekwa likizo ya mwaka..
Jamaa namuonea huruma sana,yaani hata mwaka wa kwanza wa ndoa bado kashaanza kuteseka.
Hapo ameingia choo cha kike achukulie hiyo mahali ametoa sadaka.
Inawezekana huyo demu kuna vitu alikuwa anapewa mwanzoni vikamfanya ashawishike kuwa na jamaa ambavyo sasa hivi baada ya kuhamia kwa jamaa havipati kwa hiyo anamuwekea mgomo baridi kiaina ila jamaa haelewi jinsi ya kumsoma

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa namuonea huruma sana,yaani hata mwaka wa kwanza wa ndoa bado kashaanza kuteseka.
Hapo ameingia choo cha kike achukulie hiyo mahali ametoa sadaka.
Inawezekana huyo demu kuna vitu alikuwa anapewa mwanzoni vikamfanya ashawishike kuwa na jamaa ambavyo sasa hivi baada ya kuhamia kwa jamaa havipati kwa hiyo anamuwekea mgomo baridi kiaina ila jamaa haelewi jinsi ya kumsoma

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Anataka abadilishiwe kifurushi...Sasa jamaa haelewi
 
Ipo hiviii... Nilijuana nae mwaka jana alikua akiishi mbezi Afrikana nikamshawishi , na yeye bila hiyana akanikubalia safi bila tatzo. Mimi ni muajiriwa kampuni fulani mjini mara nyingi saa 10 or 11 alfajiri huwa naenda kazini sasa ikawa anakuja mtaani naweza kumnyandua mara moja and alfajiri simnyandui wala nn coZ nahofia kumwamsha usngizini maybe atamaind.

Kama akija nilikua nanyandua mara moja bas nalala asubuh yeye akiamka anaenda mishemishe zake na mimi mishemishe zangu. Mwez wa 12 tukaelewana nipeleke barua kwao bila hiyana alikubali, nikapeleka bila tatzo. Majibu yalirud safi alhamdulillah nikakubaliwa na mahari ikapangwa kama 1.2M.

mwez wa 5 nilipeleka mahari kwao kama 700k nyingine deni ad leo na nikamuomba tuish kidogo kama maswala ya ndoa tukijipanga tutakamilisha. Sasa kwenye swala la kunyanduana nilizani maybe kwa sababu sjatoa mahari datz why ananifanyia hivyo kumbe na nikitoa atabadilika, kuumbe ni tofaut na matarajio yangu.

Naweza kuwa nna ugum kinomaaaa nikiomba game mara niambiwe tumbo linaniuma, au subiri baadae na nikiambiwa baadae ni baadae kweli i mean hata kukumbushia halumbushii, mda mwingine ntaambiwa subiri chakula kishuke ndo tutaduu hapo utasubir kama lisaa lizima na mwenzio wala hana habar na kama ni usiku kama ni usingizi utakuchukua bila kuduu.

Kingine asubuh na kijiubaridi cha Darisalam Hasani kichwa lazma asmame nikimshirikisha mwenzangu hatak in short skumbuki lini nilipewa asubuh na huyu duu. Ushauri hapo nifanye vipi napata tabu kinomaaaa.... unga huu uzi mkuu msaada
Huyo mtafutie mchepuko tu wala usimuombe game atakuomba mwenyewe
 
Back
Top Bottom