Zaburi 23
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 570
- 658
- Thread starter
- #101
Dah!Sasa kama show mbovu mbona mahari amekula..na kwa nini asimwambie kuwa baby siridhiki..na ikiwezaka kuomba kabisa talaka.
Option ya kumbania unyumba mumeo ndo option nzuri?...Ingekuwa mimi ningekitimua hicho kipumbavu just in her first days za kuanza vijisababu