mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Sema huyu jamaa inaonekana ni mlokole fulani hivi kwa hiyo demu anatake advantage ya kumuendesha,angekutana na mabaharia mwenyewe angeomba poo.Huyo mtafutie mchepuko tu wala usimuombe game atakuomba mwenyewe
Asante mkuuSema huyu jamaa inaonekana ni mlokole fulani hivi kwa hiyo demu anatake advantage ya kumuendesha,angekutana na mabaharia mwenyewe angeomba poo.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Yaani mimi kanuni yangu huwa naendeshwa na hela sio mwanamke au binadamu.Asante mkuu
Shukrani kwa ushauriYaani mimi kanuni yangu huwa naendeshwa na hela sio mwanamke au binadamu.
Kama hela ipo nina uwezo wa kufanya chochote au kununua chochote kile.
Yaani uteseke na ugumu na mfukoni una hela ni uzembe wa hali ya juu.
Tafuta mwanamke mwingine mstaarabu kidogo awe mchepuko wako,ukitoka kazini unamaliza kila kitu huko ukirudi nyumbani unalala naye kama kaka na dada kwa muda wa miezi 3 mfululizo halafu subiria matokeo
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Hii ndo dawa pekee!Mkuu, nunua chips funga! Ataanza kulilia yeye Mkuyenge...
Yaani ukitoka Job unapitia Sinza, unavesha Kama watatu hivi, unapiga zako bia 5 then home!! Fanya hivyo mwezi mzima afu leta mrejesho hapa!
SureZaburi 23
Samehe hiyo 800K , piga chini tafuta mwanamke mwingine.
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Anasema ni tangu mwanzo hali ilikuwa hivyo akajua labda sababu hajalipa mahari..kalipa ila bado hapewi..Jamaa namuonea huruma sana,yaani hata mwaka wa kwanza wa ndoa bado kashaanza kuteseka.
Hapo ameingia choo cha kike achukulie hiyo mahali ametoa sadaka.
Inawezekana huyo demu kuna vitu alikuwa anapewa mwanzoni vikamfanya ashawishike kuwa na jamaa ambavyo sasa hivi baada ya kuhamia kwa jamaa havipati kwa hiyo anamuwekea mgomo baridi kiaina ila jamaa haelewi jinsi ya kumsoma
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Sijaelewa kwa kweli jamaa ushawishi haupo kabisa binafsi humo ndani kusingekalikaWanaume wengine Bana ivi wewe ni wakiume au mwanaume ivi unabembeleza kupewa nyapu na mkeo au mchumba wako kabisa yani kabisaa aisee ni kwambie Tu hina msimamo hujiwezi na kingine kichungu Hana hisia nawe tafuta mwenye hisia na wewe
Ana lilia papauchi kutwa nzima. Aisee!hivyo Zaburi 23 unakaa zako toka asubuhi mpaka mchana unasubiri upewe game, usipopewa unakaa zako hapo unabembeleza weeeh' mpaka tena jioni, ukinyimwa unalia lia mpaka alfajiri tena, maskiiiiini..!!
Mkuu, unatafuta pesa sangapi.??
Wanawake wenye Tabia kama hizi wapo wengi Sana. Mimi nimeexperience Kwa mademu wanne hiviNna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.
In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.
Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.
Shukrani zenu.
Achana nae huyo mpuuzi mwambie kama ni mkeo hajaja kwako kufua wala kupika tu! Yeye kama mke kazi yake ni moja tuNishasusa sana hata wiki moja na siku ishafika lakini mwanamke walaaaa hana habar ad mie nazidiwa naomba japokua tena napigwa kalenda
Huyo hakupendi. Utapoteza tu muda wako na yeye.Nna mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibaaaaaao ikiwa tiari nimemtolea mahari ushauri wenu nifanye nini nipo njia panda.
In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi ntafos weeee ntakuja kupewa mchanaaa na akila ndo balaa anakwambia subiri chakula kishuke unaweza kusubiri hata lisaa lizima bado anasema chakula hakijashuka.
Kama ni usiku basi hadi utapitiwa na usingiz hujapewa jambo na pakikucha maybe alfajiri anasema haweza kunyanduana nifanye nini kwa hapo ushauri wenu.
Shukrani zenu.