Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

Huyo jamaa hakufai kabisa, tafuta mtu msiri na anayeweza kukutoa out na ku spend...

“kumwelewa mwanamke ni kazi sana”

Mitano tena kwa jamaa
 
Msimuhukum Mwanamke.


Kuna uwezekano kabisa, Jamaa ameamua kutumia hiyo mbinu ili kufunga mwanya wa Demu kumpiga mizinga.

Na mwishi wasiku unaweza kuta Jamaa anoa Dem mwengine.

Kwahiyo demu atajikuta ameliwa kwa mkopo kwa zaidi ya miaka 4[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila wanaume tuna akili sana[emoji23][emoji23][emoji23].



Haijalishi unafanya mambo gan ya maendeleo, kushirikisha tu haitoshi. Je mwanamke anafaidika nahayo maendeleo anayofanya jamaa???.

Ukizingatia Mwanamke anaishi kwake, anakaz yake, kipi ananufaika nacho zaidi yakuliwa bure???


Nadhan maendeleo hayo yangekua na faida ikiwa tu mwanamke anafaidika nayo pia .

Kwa sasa niseme, dem anapigwa kwa mkopo.



Yeye amchane Laivu.
 
Mimi nadhani huyo dada hastahili kupewa ushauri, anaestahili kupewa ushauri ni huyo "Mwamba" anaetoka na huyu dada!
 
Anspigwa kwa mkopo? Kwahiyo unashauri amuuzir sio?
 
Ila wanawake wengine bana akili zako na umri wako haviendani hata kidogo.
 
Huyo sio mtu sahihi kwake! Ampige chini akatafute mwanaume anayejua kuspend, kumbebisha! Kumtoa out na kila aina ya starehe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nasemaje wanaume design hii tupo ni Yeye tuu na akumbuke 28 years jua lishaanza kupungua makali so kazi kwake
 
Kama kila unalomshauri anatimiza,nshauri awe anakupa hela za matumizi
 
Hii mbinu kwa awamu hii ya Mitano tena ...naona inafaa Sana
 
Kuna siku mzee mmoja alinikuta mgahawani nakula
Tunafahamiana nae kwasababu alikua na uhitaji kidogo unahousiana na kazi yangu nikamsaidia
Aliketi kishaakaagiza soda mbili moja akanipa kisha yeye akaendelea kunywa yakwake......katika maongezi ongezi akaniambia...
Wewe bado nikijana mdogo sana
Pia hongera kwa kupata kazi yakufanya
Lakini ...utakosea na kupoteza dira yako yote pindi utakapoweka kichwani mwanamke!
Nikamuuliza kwanin ....? Akanijibu....
Wanawake wengi wao hawajielewi kabisa
(Unaweza )kumpata mzuri akachangia maendelea yako kwa kiasi kikubwa mnoo,lakini ni mmja tu kati ya 100
Ila wengi wao hawajui wanachokitaka
Na baadhi yao hawajijui hata wao wenyewe
Kwahyo kwa ushauri wangu pambnia kutimiza ndoto zako zooote au ukiwa umeshafanya kwa 80% ndio uanze kuangalia kwasababu hata ukimpata mjinga kwa hapo ulipofika utaweza kupigana kufikia hapo zaidi
Kuliko kujichanganya leo ikiwa huna chochote atakuja akufukie zaidi...!

Na naona maana ya maneno yake kila mala nikiingia JamiiForums.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…